kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,324
- 1,704
bora waje mademu wa kinyarwanda wapate mpinzani,,,,manake wao ndo wanajiona peace kali mashariki nzima!!Jumuiya ya Museveni
bora waje mademu wa kinyarwanda wapate mpinzani,,,,manake wao ndo wanajiona peace kali mashariki nzima!!Jumuiya ya Museveni
Hakuna Jumuiya yoyote ya maana itakayoweza kuboresha hali za maisha ya watu wa Afrika inayoweza kuundwa na Watawala wa nchi za Afrika. Jaribu tu kujiuliza swali dogo, Je hizi Jumuiya za ki-Afrika ambazo tayari zimeundwa na zipo hai zimewasaidia nini au zinawaletea faida gani Watu wa bara hili la Afrika?Ethiopia inataka kujiunga na EAC?
Nini madhara na faida?
Je Tanzania na Kenya zitakua bado na sauti ndani ya EAC au ndio mvurugano utaongezeka?
mhhHawapo, wote wamejaa tamaa na kuvizia fursa uchwara.