Je, Ethiopia kujiunga Jumuiya ya Afrika Mashariki kutaharibu au kuimarisha jumuiya hiyo?

Mr Chromium

JF-Expert Member
Aug 20, 2020
2,144
2,782
Ethiopia inataka kujiunga na EAC?
Nini madhara na faida?
Je Tanzania na Kenya zitakua bado na sauti ndani ya EAC au ndio mvurugano utaongezeka?
 

Attachments

  • CE535FCA-6D85-401E-952E-DA64E2EBB1AB.jpeg
    CE535FCA-6D85-401E-952E-DA64E2EBB1AB.jpeg
    395.3 KB · Views: 6
Mimi bado na kwazika na secretariat ya EAC, zile core objectives ambazo ni: facilitating free movement ya watu na capital, monetary union and eventually federation bado hatujazifikia tunahangaika kujaza nchi, tena nchi zenye migogoro ya ndani.

Hawa watu hawajitambui
 
Ethiopia is set to become the 9th member state of East Africa Community (EAC), just a few months after Somali's admission to the bloc. This was disclosed by Peninah Malonza, the Cabinet Secretary for Ministry of EAC, Arid and Semi-arid Lands and Regional Development.

#HONGERA RAIS WETU.
#Wosia wangu miye ambaye eid imeniendea mrama, tulime kupitiliza mazao mbalimbali, mtaja nikumbuka miye babu yenu, wenzetu wana Arid and semi Arid lands hao.
 
Hivi umuhimu wa hii jumuiya mpaka sasa ni upi? Ukiilinganisha na Jumuiya nyingine kama EU, EAC ni kama mkusanyiko wa kima wasio na akili wala mapatano ya pamoja.

Bottom line: unamshukuru Rais ndo mmiliki wa EAC?
Unafaida kubwa mno, hasa katika biashara mbalimbali za mipakani, we lima kwa bidii tu, mjukuu wangu.
 
Itafika muda sasa itakuwa sio EAC tena bali ECNAC (East, Central and North Africa.....)...

Jinsi nchi zinavyoongezekana, malengo ya awali ya EAC ni kama yanzidi kupoteza uelekeo au ugumu kuyafikia...
Ni kwei kama saizi nchi kamq rwanda na somalia zimeingia hakukaliki
 
Ethiopia is set to become the 9th member state of East Africa Community (EAC), just a few months after Somali's admission to the bloc. This was disclosed by Peninah Malonza, the Cabinet Secretary for Ministry of EAC, Arid and Semi-arid Lands and Regional Development.
#HONGERA RAIS WETU.
#Wosia wangu miye ambaye eid imeniendea mrama, tulime kupitiliza mazao mbalimbali, mtaja nikumbuka miye babu yenu, wenzetu wana Arid lands hao.
Hii jumuiya ya EAC sijui Ina nini, mbona nchi nyingi zinataka kujiunga nao? Mbona hii wing itaweaken AU?
 
Hivi umuhimu wa hii jumuiya mpaka sasa ni upi?
Ngoja nichimbe deep ntakuletea Ila kwa haraka haraka..

Faida za hizi integration kwa haraka haraka ni..

*Ku wide market (kutanua masoko ya bidhaa)

* Free movement of factors of production ie. labour, capital e.t.c ngoja nipunguze umombo 😊

*Balance of trade (BOT) Mkuu ngoja nipunguze terminology za kiuchumi maana wanauchumi nikisema balance of trade wananielewa😊

*Kuna faida nyingi sanaa za kiuchumi, kisiasa na kijamii itoshe kusema ivyo nikipata wasaa ntadadavua..
 
Tatizo kubwa la nchi za kiafrika (hasa baada ya kujitawala)ni kufanya mambo yake kwa mihemko ya kisiasa bila kuangalia lengo na msingi wa jambo husika.

Miungano ya maeneo mbalimbali katika hili bara imekaa kisiasa zaidi kuliko kiutendaji.
Hata AU yenyewe ukiiangalia kwa jicho la tatu utaiona kama kundi fulani la wapiga porojo.

Hivyo kuingia kwa Ethiopia huku itakuwa ni kuongeza tu idadi, hakuna la ziada.
Ile methali ya 'Umoja ni nguvu', kwa waafrika imekuwa fumbo gumu.
 
It seems to many like a conspiracy theory but this is a sure event, one world government will soon be unveiled.

Dunia ili itawalike vyema ni lazima igawanywe kwanza katika majimbo 10 ya kidunia. Na kila jimbo litakuwa na mtawala wake mmoja wa juu. Sub Sahara Africa itakuwa mojawapo wa jimbo hilo.

Michakato mingi imekwisha na inaendelea kufanyika ili kukamilisha ajenda hii. Suala ni muda tu ili kufanikisha kile kinachopigiwa upatu na mabwana wa dunia hii, eti "ili kuifanya dunia kuwa sehemu salama ya kuishi kwa wanadamu wote".

Sanamu ya mnyama mwenye vichwa vinne, na pembe 10 imekwishawekwa katika ofisi za UN HQ, New York - USA. Hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya juu ya sura ya dunia yetu, kila jambo limepangiliwa kimkakati na huja kutokana na matakwa ya wakati. Beware.

"In December 2021 a statue was placed outside the United Nations building in New York City. The image looks like a kind of lion or leopard with wings and rainbow-toned coloring. The art piece is said to be “a guardian of international peace and security.” The image is consistent with the style of its creators, Mexican artists Jacobo and Maria Angeles"
View attachment 2959372
 
It seems to many like a conspiracy theory but this is a sure event, one world government will soon be unveiled.

Dunia ili itawalike vyema ni lazima igawanywe katika majimbo 10 ya kidunia. Na kila jimbo litakuwa na mtawala wake mmoja wa juu. Sub Sahara Africa itakuwa mojawapo wa jimbo hilo.

Michakato mingi imekwisha na inaendelea kufanyika ili kukamilisha ajenda hii. Suala ni muda tu ili kufanikisha kile kinachopigiwa upatu na mabwana wa dunia hii, eti "ili kuifanya dunia kuwa sehemu salama ya kuishi kwa wanadamu wote".

Sanamu ya mnyama mwenye vichwa vinne, na pembe 10 imekwishawekwa katika ofisi za UN HQ, New York - USA. Hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya juu ya sura ya dunia yetu, kila jambo limepangiliwa kimkakati na huja kutokana na matakwa ya wakati. Beware.
Delete utumbo wako huu. Nyie walokole mna shida sana
 
Back
Top Bottom