alipewa na jeykey hawa jamaa ni mapacha.Ant bayo hiyo thanks moja umeipataje au umejipa mwenyewe?:mad2:
alipewa na jeykey hawa jamaa ni mapacha.Ant bayo hiyo thanks moja umeipataje au umejipa mwenyewe?:mad2:
alipewa na jeykey hawa jamaa ni mapacha.
Huyu dr slaa hafai hata bure.....dr slaa ni bora raisi sio rais bora na waswahili wanasema rais huwa ghali
1. Hana mbinu wala mikakati ya kushinda
2. Anaonekana ana kaugonjwa ka ulevi na anataka kuwaambukiza watanzania wote ugonjwa huo
3. Hajui uchumi unakwendaje (labla kwa vile ni mtheolojia)
4. Hauziki
5. Hana ndoa
6. Jema pekee alilofanya (ingawa hajafanikiwa na hatafanikiwa) ni kuwataja wevi pale mwembe yanga
7. Mnafiki. Analialia eti posho za wabunge ni kuwa huku anazipokea
8. Hodari wa kulalamika lalamika
9. Anataka kuzalisha jamii yta wavuta sigara (huende na bangi pia) pamoja na walevi
10. Hakubaliki
Kwa hali hiyo, SITAMCHAGUA
Na bado. Tutawaona wengi kufikia Oktoba 31. Baada ya hapo watatoweka mmoja mmoja.dah..kazi kwelikweli,kumbe maadui wa nchi hii bado wana nguvu.....yaani ujinga,maradhi,umasikini na lile lingine.
Antibayotiki: Ni mapema sana kusema lolote....unaonyesha una wasiwasi na mbinu atakazotumia Slaa ndio mana unashauku ya kutaka kujua.
Mbinu gani za ushindi? Hata wiki moja haijaisha tangu campain zimeanza rasmi? Bado miezi miwili tusubiri tuone. Hata CUF na wengine hawajaanza? Mbona mchezo bado sasa ni kupasha msuli tu!
PJ... huyo anaitwa aunt bahatiMozze,
Waogopeni sana watu wa aina ya Anti-sijui nini!
Wana JF,
Nadhani nimekwisha kujibu hoja hii mara nyingi na kama mwandishi husoma jamvi hili angeliweza kupata majibu ya yote aliyoeleza humu. Narudia kwa kifupi,
i) Dr. Slaa hakufukuzwa upadre wa Kanisa Katoliki, na wala hakutuhumiwa popote na kwa wakati wowote ule kuhusiana au na ubadhirifu wa mali au rasilimali za kanisa au za mtu yeyote ile. The onus of proof is on the author na niktafurahi sana kama ana chembe ya ujasiri aweke hadharani. Nadhani ndio uungwana.
ii) Dr Slaa alipotoka upadre aliitwa na wananchi wake wa Karatu kuwa mtumishi wao. nimekuwa Mbunge kwa miaka 15 yaani awamu tatu na hadi leo wanamlilia. ghafla hawezi kugeuka shetani. na hana tabia ya kujificha wala kuwa na sura ya kinyonga. Mwandishi angefika Karatu na kufanya utafiti angeligundua ukweli huo.
iii) Kuhusu Maisha yanayoitwa binafsi, Dr Slaa hajawahi kuwa na maisha binafsi ya siri. Mwandishi angelifika Karatu angelishangaa kuwa hayo anayoita maisha binafsi ya ndoa ya DR. Slaa ni public knowledge. wananchi waliomlea kwa miaka 15 ndio wanaomjua kuliko yeyote, na wana haki ya kuulizwa.
iv) MWANDISHI anaonyesha uelewa mdogo wa masuala ya Kanisa Katoliki na Taratibu zake mbalimbali. Dr Slaa anayo Decree ya Vatican ya Laicization, Mwandishi angefanya utafiti mdogo tu angeweza kuelewa maana yake nini, wala asingelizungumzia habari ya prodigal son, ambayo dhahiri haelekei kufahamu maana yake.
Nimetoa haya kwa manufaa ya wanaopenda kuelewa zaidi. Hata hivyo maswala haya yalikwisha kufafanuliwa kwa kina kwenye jamvi hili.
Nawashukuru wana jamvi wote, na wanajamvi mko huru kudodosa lolote kwa vile kiongozi hana private life, hivyo Dr Slaa anaweza kuulizwa lolote na ufafanuzi unaotakiwa utatolewa
Halafu "the onus of proove' ndiyo kitu gani mkuu? Kama Kiingereza mambo fulani tuandike Kiswahili tu tutaelewana, hii mikogo ya Kiingereza cha kuunga unga inakuaibisha tu.
Kiranga,
Wewe usijione kwamba haki ya mtu kueleza jambo kwa kiingereza ni YAKO WEWE BINAFSI(kIRANGA)!
Wewe ndiye namba 1 kwa kuandika andika vitu visivyoeleweka hapa jamvini kwa lugha hiyohiyo unayomlaumu nayo Dr Slaa...what a mess!:eyeroll2:
Umembiwa kwamba mwandishi anatakiwa kufanya utafiti kidogo ili kuyajua hayo!..Hata wewe ukifanya utafiti kidogo tu utajua maana ya "the onus of proove"!
Thanks Dr. W Slaa... mwenye macho kaona, mwenye masikio kasikia...
Abdulhalim nadhani ujumbe umemfikia Dr.
Kiranga... waswahili wanasema kuchamba kwingi, kutoka ma m@vi, wewe katika post yoote hiyo umeona paragraph, na lugha tu??? kuna mwalimu wa chemistry alishawahi kuniambia "Acid.. ukishaona unakagua benzene ring kuangali tofauti ya pembe na kama ile ring haiko uniform basi kimbia haraka psychiatry, maana wawez kuwa tayari...."
wakatabahu
Dr. Slaa anataka kuwa colloquial sasa, na anatutia shaka kuhusu uwezo wake. Kiingereza hajui, kuandika kwa paragraph hajui, kutochanganya kiswahili na kiingereza hajui, kuwapa proofreaders wamsomee mambo hajui.