Mkuu Froida wala mimi sijasema CCM lazima ishindeHii Mada ungeiweka katika mtazamo chanya ilikuwa nzuri lakini kwa sababu wewe unaona lazima CCM ishinde wakati kunavyama lukiki vinashindana na kurudishia mwenyewe wewe PAULSS ni mchochezi huna uzalendo
Mkuu umesoma mada ukaielewa? au unajibu kiushibiki tuCHADEMA inatuandaa kulinda kura baada ya kupiga ili haki inapoibwa iweze kupiganiwa, hakuna tena muda wa kuacha ccm waibe.
Jibuni hoja, msijitie hamuoni
Marufuku kuikmbia jamvi baada ya uchaguzi,,,mje na vikaragosi vyenu kama kawaida,,, mkitaka kulia lia mkalie nyumbani kwenu na watoto wenu,, hapa jamvini hatutaki kusikia vilio vyenu
Mkuu umesoma mada ukaielewa? au unajibu kiushibiki tu
kama ni swala la la kulinda kura soma kwa uzuri post no 18
Kwenye red inaonyesha ni jinsi gani ulivyo athirika na uzushi huu wa CHADEMA, unaonyesha upo tayari kuingia hata msituni ilimradi tu CHADEMA haijashinda
Jibuni hoja, msijitie hamuoni
Marufuku kuikmbia jamvi baada ya uchaguzi,,,mje na vikaragosi vyenu kama kawaida,,, mkitaka kulia lia mkalie nyumbani kwenu na watoto wenu,, hapa jamvini hatutaki kusikia vilio vyenu