akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
Wakuu wana JF, kwa kweli nimechoshwa sana na uongozi mbovu wa sasa chini ya serikali ya chama cha mapinduzi CCM. Nimejiandaa vema kabisa kupiga kura kuiondoa madarakani.
Fikiria mara ghafla Novemba sijui tarehe ngapi...pah!...CHADEMA imechukua nchi kwa ushindi mkubwa kiasi kwamba ina wabunge wa kutosha na Rais ni Dr. Slaa.
SWALI:
Sura zote zikiwa mpya kabisa.....CHADEMA iko tayari kuongoza nchi?
Unaingia Ikulu kwa upya kabisa, Rais Mpya, Waziri Mkuu Mpya, Baraza la mawaziri jipya, Wabunge?, wakuu wa mikoa?, wakuu wa wilaya? makatibu wakuu? wakurugenzi mfano usalama wa taifa, mkuu wa majeshi... Brand New kila kitu.
Je kutakuwa na wa kumuuliza hiki tunafanyaje na hiki kinakuaje? Au je kuna utaratibu wa Rais aliyepo kuendelea kwa muda kuwezesha 'fair handover'..yaani bila shaka yapo mambo ya kuelekezana.?????
Je hiki kipindi kitachukua muda gani ili ahadi za siku 100 za kwanza muda wake usiingiliwe?
Ni wasiwasi tu wa mpiga kura...naomba tusaidiane.
Fikiria mara ghafla Novemba sijui tarehe ngapi...pah!...CHADEMA imechukua nchi kwa ushindi mkubwa kiasi kwamba ina wabunge wa kutosha na Rais ni Dr. Slaa.
SWALI:
Sura zote zikiwa mpya kabisa.....CHADEMA iko tayari kuongoza nchi?
Unaingia Ikulu kwa upya kabisa, Rais Mpya, Waziri Mkuu Mpya, Baraza la mawaziri jipya, Wabunge?, wakuu wa mikoa?, wakuu wa wilaya? makatibu wakuu? wakurugenzi mfano usalama wa taifa, mkuu wa majeshi... Brand New kila kitu.
Je kutakuwa na wa kumuuliza hiki tunafanyaje na hiki kinakuaje? Au je kuna utaratibu wa Rais aliyepo kuendelea kwa muda kuwezesha 'fair handover'..yaani bila shaka yapo mambo ya kuelekezana.?????
Je hiki kipindi kitachukua muda gani ili ahadi za siku 100 za kwanza muda wake usiingiliwe?
Ni wasiwasi tu wa mpiga kura...naomba tusaidiane.