Madela wa madilu,
Mkuu mimi hilo la kanzu na mvaaji wake kidogo limenibakiza kizani kwani navyojua mimi hatuzungumzii joho la Spika ila Bunge. yaani Msikiti au kanisa na upande wa pili kuna Sheikh au Padri.
Sasa ikiwa unamatatizo na Sheikh au Padri sidhani kama utakuwa unalitukana kanisa au msikiti kwa sababu ya uendeshaji ibada wa Sheikh au Padri X..na wala hutakuwa unafanya kufuru ya dini, aya au sala nzima, isipokuwa unahoji udhu (usafi) wa mwendesha ibada. Kama yeye sii msafi kuna kila sababu ya sala nzima kutopokelewa ipaswavyo..
Nikirudi ktk swala la Bunge bila shaka mnakumbuka kwamba hata hapa JF ni kama chombo chochote kinachokatazwa kujadili mambo ya Bungeni kikatiba.. lakini tumeona hoja kibao za wabunge tukizijadili jambo ambalo mimi naweza sema ni kuvunja katiba..Lakini sidhani kama ndio maana ya sheria hiyo kuwekwa kwamba wananchi ktk vyombo vyao hawaruhusiwi kudajili maswala ya Bungeni isipokuwa ibara hii imetanguliwa na maswala fulani muhimu ambayo yanakataza mjadala hiyo..
Sasa bila shaka ningependa kuisoma sheria nzima kwa mapana yake ili nipate mwanga zaidi kwani katiba yetu ina tobo nyingi sana ambazo baadaye zinaweza kutumaliza sisi wenyewe. Pia katiba ni sawa na msahafu unahitaji mwanga mkubwa sana kuelewa na kila aya inakuwa na hadithi nyuma yake meaning tunatunga sheria kutokana na matukio na sii kubuni sheria..
Nitarudia kusema maneno ya Chiligati na wabunge wengine wengi wachovu wa kufikiri, makuhadi wa Ufisadi ni maneno mazito sana (hayabebeki) kuhusiana na yale yanayotokea Bungeni, lakini pia tuwe wepesi kutazama upande wa pili wa sarafu hii kwamba what if Speaker wa Bunge atakuwa upande wa utawala wa Kidikteta. Tuwe na rais kama Mugabe ambaye Spika alikuwa akimpongeza hata katika maasi na mapungufu makubwa ya chakula nchini mwao kwa sababu tu hataki kuachia ngazi ya Utawala.. hawa watu watafungwa na sheria gani?..
pamoja na kuwepo ibara ya 100 ningependa kuona Ibara inayotengua sheria hiyo ikiwa Kiongozi, mbunge au rais amekiuka miiko ya uongozi na kalitumia Bunge kujenga sheria kinyume cha haki..naelewa vizuri sana swala la Sitta na msimamo wangu upo wazi kabisa against hao mafisadi na naomba Mungu washughulikiwe lakini hii isiwe sababu ya kutokuwa na sheria ambayo Spika wa Bunge anaweza kufanya anayotaka kuyafanya kama kumwondoa Zitto bungeni kisha isiwe ruksa kwetu wala vyombo vyovyote kujadili au kutafuta haki ya mhusika kwa sababu tu Spika analindwa na sheria za Bunge.
Waswahili tunasema Sheikh kaingia na mbwa msikitini!
Mkuu mimi hilo la kanzu na mvaaji wake kidogo limenibakiza kizani kwani navyojua mimi hatuzungumzii joho la Spika ila Bunge. yaani Msikiti au kanisa na upande wa pili kuna Sheikh au Padri.
Sasa ikiwa unamatatizo na Sheikh au Padri sidhani kama utakuwa unalitukana kanisa au msikiti kwa sababu ya uendeshaji ibada wa Sheikh au Padri X..na wala hutakuwa unafanya kufuru ya dini, aya au sala nzima, isipokuwa unahoji udhu (usafi) wa mwendesha ibada. Kama yeye sii msafi kuna kila sababu ya sala nzima kutopokelewa ipaswavyo..
Nikirudi ktk swala la Bunge bila shaka mnakumbuka kwamba hata hapa JF ni kama chombo chochote kinachokatazwa kujadili mambo ya Bungeni kikatiba.. lakini tumeona hoja kibao za wabunge tukizijadili jambo ambalo mimi naweza sema ni kuvunja katiba..Lakini sidhani kama ndio maana ya sheria hiyo kuwekwa kwamba wananchi ktk vyombo vyao hawaruhusiwi kudajili maswala ya Bungeni isipokuwa ibara hii imetanguliwa na maswala fulani muhimu ambayo yanakataza mjadala hiyo..
Sasa bila shaka ningependa kuisoma sheria nzima kwa mapana yake ili nipate mwanga zaidi kwani katiba yetu ina tobo nyingi sana ambazo baadaye zinaweza kutumaliza sisi wenyewe. Pia katiba ni sawa na msahafu unahitaji mwanga mkubwa sana kuelewa na kila aya inakuwa na hadithi nyuma yake meaning tunatunga sheria kutokana na matukio na sii kubuni sheria..
Nitarudia kusema maneno ya Chiligati na wabunge wengine wengi wachovu wa kufikiri, makuhadi wa Ufisadi ni maneno mazito sana (hayabebeki) kuhusiana na yale yanayotokea Bungeni, lakini pia tuwe wepesi kutazama upande wa pili wa sarafu hii kwamba what if Speaker wa Bunge atakuwa upande wa utawala wa Kidikteta. Tuwe na rais kama Mugabe ambaye Spika alikuwa akimpongeza hata katika maasi na mapungufu makubwa ya chakula nchini mwao kwa sababu tu hataki kuachia ngazi ya Utawala.. hawa watu watafungwa na sheria gani?..
pamoja na kuwepo ibara ya 100 ningependa kuona Ibara inayotengua sheria hiyo ikiwa Kiongozi, mbunge au rais amekiuka miiko ya uongozi na kalitumia Bunge kujenga sheria kinyume cha haki..naelewa vizuri sana swala la Sitta na msimamo wangu upo wazi kabisa against hao mafisadi na naomba Mungu washughulikiwe lakini hii isiwe sababu ya kutokuwa na sheria ambayo Spika wa Bunge anaweza kufanya anayotaka kuyafanya kama kumwondoa Zitto bungeni kisha isiwe ruksa kwetu wala vyombo vyovyote kujadili au kutafuta haki ya mhusika kwa sababu tu Spika analindwa na sheria za Bunge.
Waswahili tunasema Sheikh kaingia na mbwa msikitini!
Last edited: