Acha wivu. Wachache watu wajitafutie maisha. Wewe Kuna aliyekuzuia kwenda Congo?Ni Mkongo, swali la kuuza ni je, ana sifa za kumiliki ardhi nchini Tanzania?
Dear wee Aristoteee hana uwezo wa kuwa na hiyo mansion, hata na kugawa tunu yake badoo hawezii.Endeleni kushupaza shingo eti sio nyumba yake...
Tafuteni hela siku hizi kuishi nyumba nzuri wtt kusoma vizuri kula vzr kuendesha gari zuri ndo maisha ya kijana wa kisasa tena katika umri mdogo..unafaidi maisha ukiwa na nguvu zako...cha msingi ni kipato halali na kisiwe kipato cha kujitoa utu wako..
Weeee kumbeeeDear wee Aristoteee hana uwezo wa kuwa na hiyo mansion, hata na kugawa tunu yake badoo hawezii.
Anatafuta wapangaji hiyo nyumba
Waaah..kisa cha kututisha ati ana eneo sqm af9? Aristotee mzee wa vikaoDear wee Aristoteee hana uwezo wa kuwa na hiyo mansion, hata na kugawa tunu yake badoo hawezii.
Anatafuta wapangaji hiyo nyumba
nyokoo zake mbna danga alopewa na uwoya hakumuhonga hizo pesa za kujenga mansion, kwa kinyeo gan alicho nacho yeye, lolWaaah..kisa cha kututisha ati ana eneo sqm af9? Aristotee mzee wa vikao
Thubutuuuuu yakee, km boss wake Uwoya hana ndo awe nayo yeye.Weeee kumbeee
Ila kuna watu wana mishipa ya kujitoa ufahamu jamani?? Mimi nilimwamini asilimia 100
Nyie wadada mtakuwa maskini sana. Huyo jamaa atawamaliza. Ndo namsikia leo ila umempamba sana nikaona tayari ashakukula kimasikhara.View attachment 2665289
Mwanzo Aristotle alikuwa ni msusi wa wanawake, baadaye akajiongeza kuuza weaving na wigs na wateja wake walikuwa ni mastar wakubwa na celebrities wa Tanzania wa hapo Dar-es-Salaam. Aliupata umaarufu kwa jinsi alivyokuwa akitangaza biashara yake kupitia Mtandao.
Mara ghafla akaamza kuwa chawa wa Diamond na Uwoya, lakini ukimsikiliza Kiswahili chake ni kama kina lafudhi ya Wakongo kabisa, ambao wengi walifika Dar kwa kazi ya kusuka na kuwaremba wanawake pamoja na kunengua na kuimna miziki ya dansi. Ametumia mtandao wa Instagram na TikTok kuonesha ukwasi wake na jumba lake la kifahari kubwa sana na zuri.
Swali langu ni kwamba, Aristotle ndie chawa tajiri Tanzania ambae ana asili ya Congo ama ni Mkigoma tuu? Uchawa unalipa nami niuanze? Hawa ndio influencers ambao Mh. "Zakayo" kutoka Burundi alisema wataanza kulipishwa Kodi?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Sio rahisi kiivo chief!Endeleni kushupaza shingo eti sio nyumba yake...
Tafuteni hela siku hizi kuishi nyumba nzuri wtt kusoma vizuri kula vzr kuendesha gari zuri ndo maisha ya kijana wa kisasa tena katika umri mdogo..unafaidi maisha ukiwa na nguvu zako...cha msingi ni kipato halali na kisiwe kipato cha kujitoa utu wako..
Kweli aiseeThubutuuuuu yakee, km boss wake Uwoya hana ndo awe nayo yeye.
NomaaaaahKweli aisee
Nifungulie hii code nimetoka bushi juziMuhimu kama sio mtanzania tujue bayana. Hao hawakawiagi kugombea ccm hata ubunge. Kuna yule mkenya alijiingiza tz akapiga hela hadi kua mwenyekiti wa chama cha mpira nchini na kujipa jina alhaji fulani. Alipoingia matawi hatakiwi ndio wakamvua mask na kumu escort hadi namanga wakamdump pale akaingia zake nairobi na kutokomea.
Haya sasa Toto la mjini hili hapanyokoo zake mbna danga alopewa na uwoya hakumuhonga hizo pesa za kujenga mansion, kwa kinyeo gan alicho nacho yeye, lol
yaan aristotee anarusha watu roho na wanarushikaa, kabisaaa?? WoiiiiiihHaya sasa Toto la mjini hili hapa
Mwenyewe nilishangaa jamaa anatoa wapi hela ya kujenga lile hekaluyaan aristotee anarusha watu roho na wanarushikaa, kabisaaa?? Woiiiiiih
Atambeee?? Km boss na kuwadi wake Uwoya hana, ndo awe nayo yeye? Kwa kitobo gani? Anakunya dhahabu? Atupishee sie.Mwenyewe nilishangaa jamaa anatoa wapi hela ya kujenga lile hekalu