Kabaizer
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 504
- 64
Naona wana wa great kutafakar wamechemka coz nafas za kaz hakuna, Kama vp hiki kipengele kifutwe maana mtu ukisema unatafta kazi watakuzogoa Kama vile wamelazimishwa kuchangia, guyz hii sio USO wa kitabu a.k.a facebook...so kuwen na hekima mtu anapokua sirichanya!!!