mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Jamani tuwashauri waende kwa wazee wa upako watampata tu. NANI ANAMJUA TB JOSHUA WA NIGERIA. Mbona hiyo mambo anamaliza kabisa.
five years NO KIDS...........!
i can imagine a hell-of-life kwenye hiyo ndoa......!
hongera gadna,manake we mwanamume wa shoka....
mimi na x-pin na kaizer na fidel TUNGESHAKIMBIA
kufuru hizo sasa, unadhani hawapendi kuwa na mtoto? huwezi kujua jamani kha.
Nishafanya maombi,usiendelee sasa .unajua wanawake wa kizazi hichi wameharibiwa sana na ABORTIONS!
INAKULA KWAKE SASA!....
mungu anisamehe geoff mimi
Na unauhakika gani kuwa labda ni yeye Gadner ndiye hataki watoto?mungu anisamehe bure!
lakini ninachokiongea kinatoka moyoni kwamba:
1-gadner IS GOING THROUGH THE HELL-OF-LIFE
2-totooz za kizazi hichi zitakuwa tasa karibu zote KWA KUJITAKIA......ABORTIONS ndo staili ya maisha
five years NO KIDS...........!
i can imagine a hell-of-life kwenye hiyo ndoa......!
hongera gadna,manake we mwanamume wa shoka....
mimi na x-pin na kaizer na fidel TUNGESHAKIMBIA
hahaha!wewe dada una uhakika na unachokinena?ai miiin unachokitamka?
abortion huku bongo ndo staili ya maisha
mtoto mbichi anashusha mara tano kabla ya kuolewa
five years NO KIDS...........!
i can imagine a hell-of-life kwenye hiyo ndoa......!
hongera gadna,manake we mwanamume wa shoka....
mimi na x-pin na kaizer na fidel TUNGESHAKIMBIA
Mambo mengine msimsingizie Mungu ikiwa mtu aliabort kwa wingi hilo linakuwa ni suala lake na Mungu hahusiki. Nakumbuka Tabora alikuwepo Daktari mmoja ambaye ilikuwa ukiabort mara mbili mara ya tatu anatoa mzizi pasipo hata wewe kujua ukimuuliza anakwambia hata naye amechoka kuua, unapofanya abortions mara nyingi unakuwa hutaki watoto. Wanafunzi wengi wa uhazili waliishia kuwa wahanga wake na siku ya mziba wake wanawake wengi pale tabora walikuwa wanalia sana.
Msiwahukumu wanaolaumu abortion na wale msimsingizie Mungu. God has placed the power to decide- leave or take to human beings.
Kama aliabort sana kazi anayo, aangalie labda dk alikata mzizi
NA HUYO MACHO MLEGEZO!!!????????IS HE REAL
wamekwambia wanahitaji?
Geoff naomba kujua tu,mmoja kati ya hawa angekuwaunajua wanawake wa kizazi hichi wameharibiwa sana na ABORTIONS!
INAKULA KWAKE SASA!....
mungu anisamehe geoff mimi
Geoff hivi mmoja kati ya hawa watoto angekuwa mtoto wako ungesemwambiaje?unajua wanawake wa kizazi hichi wameharibiwa sana na ABORTIONS!
INAKULA KWAKE SASA!....
mungu anisamehe geoff mimi
unajua wanawake wa kizazi hichi wameharibiwa sana na ABORTIONS!
INAKULA KWAKE SASA!....
mungu anisamehe geoff mimi
e........We Geoff wewe tema mate chini, una uhakika gani kwamba huyo dada alitoa mimba? Mbona watu mna mawazo mabaya kiasi hiki? Wangapi wanatoa mimba na still wanazaa........kuna matatizo mengi yanayoweza kusababisha mtu kutoshika mimba, lakini cha ajabu siku hizi mwanamke akichelewa kushika mimba basi anaonekana alishatoa mimba.
Hebu tusipende kuongea vitu ambavyo hatuna uhakika navyo na vile vile havituhusu. Kama kuzaa huo ni mpango wa Jide na mumewe nyie watu wengine mnashibikia kana kwamba Jide ni shemeji au wifi yenu.
Hebu mwacheni dada wa watu ajifurahie maisha hakuwaambia kwamba anahitaji mtoto.........hakuna kitu kinachonikera kuona mtu anamsema mwanamke mwenzangu kwa ajili ya kutokuzaa mtoto.Hili tatizo la uzazi ni la pande zote kike/kiume hivyo tusiwe wepesi wa kuona mwanamke ndio mwenye tatizo.