Jaribio la kumtoa Spika Ndugai ni la hatari kuliko linavyochukuliwa

Covd19 hutawasikia wakimpinga Ndugai kuwa kafanya makosa kumshambulia mwenyekiti wa CCM na hata wanaccm wote wanaomshambulia Ndugai na kutishia kuitisha maandamano ya kumshinikiza ajiuzulu kwa madai ya kulidhalilisha bunge wanafanya hivyo kwa ajili ya kutetea ugari wao na hawana weledi wowote pamoja na mwenyekiti wao taifa.

Hakuna jambo baya zaidi lililolidhalilisha bunge kuzidi lile la kuwaweka kwa nguvu na kuwalinda kwa nguvu zote wabunge ambao hawana chama chochote cha siasa pamoja na chama husika kutoa tarifa kuwa wale siyo wanachama wake kwakuwa kilishawavua uwanachama.

Pamoja na yote hayo Ndugai kwa kiburi chake ameendelea kuvunja sheria kwa kuwalinda wabunge covd19 na hakuna mwanaccm hata mmoja kuanzia mwenyekiti taifa aliyethubutu kumkemea Ndugai maji yamewafika shingoni ndo wameanza kuweseseka.
 
Mbona unaongea pumba jeshi litapinga hicho kifungu cha katiba?
Uraisi amepewa na katiba sio jeshi, na ndio maana
huwa wanapambana kuiba kura wapate uhalali wa kulindwa na katiba kuwa ni washindi na sio jeshi.
Kichwa maji umesikia.
Mpaka wafikie hatua ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae yeye kakaa tu analiona bunge bila kulivunja??
 
Hivi alichokisema spika mbona kina mantinki au ni Mimi ndio sielewi mbona na Kama Mimi sielewi basi yawezekana Mimi ni mjinga sana au watanzania wengi na viongozi ni wajinga hakuna mfano. Kiukweli huwezi endesha nchi kimadeni madeni mtu anayekopa sana ni mvivu wa kufikiri... Kwakua hela ya mkopo ni nyepepesi kuipata hasa kwa nchi nyingi tu za kiafrika. Japo nzi siwapendi hata kidogo Ila dugai maelezo yake yanameki sensi...

Kingine bunge la nzi ni liwapumbavu wa mwisho wa dunia kushindwa kuipiga biti serikali na kukumbatia chama laana iwe nanyi kwa hasara mnayotutia
 
Spika siyo cheap kama watu wanavyofikiria...Spika ana mtandao wake mkubwa sana ndani ya CCM na serikali.. Spika ana nguvu isiyo ya kitoto. Hata mle ndani Bungeni ana safi yake kubwa sana.


Unaweza kuunda zengwe la kumtoa likafeli, then nini kitajili? Kwa kifupi ni mchezo wa hatari sana.

Spika anao uwezo wa kubadili hali ya hewa ya hii nchi kuanzia Bungeni ambayo itaathiri Baraza la Mawaziri na watendaji wengi tu wa serikali.


Hilo jaribio likifeli, Wabunge wanaopiga kelele wanaoingia ulingoni Uchaguzi Mkuu ujao chini ya Kamati Kuu (CC) watakuwa na wakati mgumu sana.


Ni sawa na kumshika simba sharubu.

Muda utaongea.View attachment 2069578View attachment 2069579View attachment 2069580
Mihimili miwili ya Dola, katika historia ya Siasa duniani, inatunishiana misuli, nchini Tanzania.

Katika sakata hilo mshindi atakuwa ni yule ambaye ataeleweka kwa jamii kwa swali la msingi, Je, mikopo ya Serikali ina manufaa kwa Taifa?.

Ikumbukwe kuwa mapato (ya ndani na nje, ikiwemo mikopo) na matumizi ya Serikali huidhinishwa na Bunge. Kwa msingi huo, Serikali kukopa nje ya idhini ya Bunge ni kudharau wajibu na mamlaka ya mhimili huo.

YAJAYO YANAFURAHISHA kwa kuwa sakata hilo laweza kuwa mtaji wa kisiasa.
 
Mtu anakichwa kikubwa Tena nyie mnamuongezea kichwa kiwe kikubwa zaidi, aisee noma sana, kitapasuka, hawezi kuwa mkubwa kumzidi Rais.
 
Huna imani na Rais huku jeshi lina imani nae unategemea nini? Jaribio hilo ni hatari sana kuliko kumvua uanachama.

Njia rahisi ya kumuondoa Rais ni kumvua uanachama kama ilivyotokea kwa Jumbe
Hiyo njia ya kumvua uanachama ndo angalau ina matumaini kwa mbali. Lakini mkuu bado hakuna wepesi katika kumwondoa Rais wa JMT madarakani nje ya uchaguzi mkuu. JPM kashaowaonyesha kwa vitendo wanaomfuatia kwenye uongozi nguvu halisi za mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni rais. Mama anapita mulemule.
 
Yaani Mh. Spika Ndugai ni wa kupigwa biti na hawa watoto wanaonuka maziwa, wagogo huwa ni wakimya ila comeback yao huwa inakishindo kikubwa mno.

Mama awe makini na hao anaowaita washauri wake.
 
Spika siyo cheap kama watu wanavyofikiria...Spika ana mtandao wake mkubwa sana ndani ya CCM na serikali.. Spika ana nguvu isiyo ya kitoto. Hata mle ndani Bungeni ana safi yake kubwa sana.


Unaweza kuunda zengwe la kumtoa likafeli, then nini kitajili? Kwa kifupi ni mchezo wa hatari sana.

Spika anao uwezo wa kubadili hali ya hewa ya hii nchi kuanzia Bungeni ambayo itaathiri Baraza la Mawaziri na watendaji wengi tu wa serikali.


Hilo jaribio likifeli, Wabunge wanaopiga kelele wanaoingia ulingoni Uchaguzi Mkuu ujao chini ya Kamati Kuu (CC) watakuwa na wakati mgumu sana.


Ni sawa na kumshika simba sharubu.

Muda utaongea.View attachment 2069578View attachment 2069579View attachment 2069580
Watazoa na kula matapishi yao muda si mrefu ujao. Hawa Mara nyingi ni bendera fuata upepo.

Haya mambo CCM watayamaliza halafu hawahawa utasikia wanamsifu Ndugai huku wakisema Mama anaupiga mwingi.

Hawana wanachosimamia.

Muda utaongea.
 
Spika siyo cheap kama watu wanavyofikiria...Spika ana mtandao wake mkubwa sana ndani ya CCM na serikali.. Spika ana nguvu isiyo ya kitoto. Hata mle ndani Bungeni ana safi yake kubwa sana.


Unaweza kuunda zengwe la kumtoa likafeli, then nini kitajili? Kwa kifupi ni mchezo wa hatari sana.

Spika anao uwezo wa kubadili hali ya hewa ya hii nchi kuanzia Bungeni ambayo itaathiri Baraza la Mawaziri na watendaji wengi tu wa serikali.


Hilo jaribio likifeli, Wabunge wanaopiga kelele wanaoingia ulingoni Uchaguzi Mkuu ujao chini ya Kamati Kuu (CC) watakuwa na wakati mgumu sana.


Ni sawa na kumshika simba sharubu.

Muda utaongea.View attachment 2069578View attachment 2069579View attachment 2069580
Wapumbavu watupu hao, we mtu kakopa trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati halafu mtu kaongea ukweli wanaanza kubenua midomo, mnataka nchi ipigwe mnada?! Haiwezekani, hili lazima lazima litaondoka na mtu!
 
Back
Top Bottom