Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Kwa hili lazima kieleweke
walipanda wenyewe, watavuna wenyewe.
Nafikiri kuna kila sababu katika kugoma. Kama mtu anahisi kuonewa lazima apiganie haki yake.
Kwamfano kama NECTA inawaonea kundi flani, kwanini wasigomee national examinations? Yani Form IV exam wasitokee!