Pakua ujionee na kisha nakuomba mpelekee na mwenzio kwa njia ya barua pepe. Na ukiweza print A4 ubandike ukutani dukani, mtaani na popote waliko WADANGANYIKA.
Hii nchi nyie achine tu, hizi majuzi kulikuwa na arusi ya mtoto wa mtawala mmoja... matusi yaliyokuwepo usiseme kabisa. Budget ya shughuli yenyewe ilikuwa kati ya 350-400mil , ukijumlisha zawadi za maharusi ambazo ni pamoja na magari ya kifahari kila mmoja bibi/bw harusi, nyumba ya kifahari, honey moon, kianzio... na fyakula na finywaji.
Wakati huo huo akina mama wajawazito mwananyamala hospital wakilala chini na vichanga vyao
Kuna tofauti kati ya fashion na maendeleo. Na pia kuna tofauti kubwa kati ya kuleta maendeleo na mabadiliko kutokana na msukumo wa wakati. Ni somo gumu na tafsiri yake pia ni ngumu lakini ukijipa nafasi unaweza kuelewa. Lakini hata hivyo wewe unayeyaona unayonafasi ya kutushirikisha tusioyaona.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.