PENDING'ULA
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 268
- 46
Wanajf ninyi mna mitazamo gani kwenye hili? Baada ya uteuzi wa January Makamba kuwa naibu waziri wa mawasiliano na alihali dadaake yuko kwenye maswala yanayoshabihiana na wizara husika? (Vodacom).
Nijuacho mimi dada yake Januari ni MTUMISHI wa Vodacom, sio mmiliki wa Vodacom. I suppose its a mere coincidence!