Safi sana makamba.
huu ni ujinga kumtenga mh rais na Ccm! bila Ccm hawezi kua rais
Embu chukua time Makamba mwache mwanaume afanye kazi yake. Juzi umemtusi leo unajikomba tabia za kishoga hizo.
Ni raisi wa Tanzania sio CCM, huko si bado mnae Kikwete
Watu mnajitahidi kumtenganisha Magufuli na CCM. Subiria atapopewa uwenyekiti cjui mtasemaje
Watu mnajitahidi kumtenganisha Magufuli na CCM. Subiria atapopewa uwenyekiti cjui mtasemaje
Watu mnajitahidi kumtenganisha Magufuli na CCM. Subiria atapopewa uwenyekiti cjui mtasemaje
Iweje aseme haya baada ya vikatuni vyake vya Insta, au ameona tumeStuka!
Baada ya kumfananisha rais na nguruwe leo anajifanya kumsafisha nguruwe yule yule.Iweje aseme haya baada ya vikatuni vyake vya Insta, au ameona tumeStuka!