Kumekuwa na kelele nyingi wiki hii kwamba Januari Makamba ametoa sijui bilioni 3 kuwahonga Wabunge ili wapiteshe Bajeti yake na kutumia sijui milioni 700 kuhonga Vyombo vya Habari vyote ili visiripoti Michango ya Wabunge wanaokosoa Utendaji wa Wizara.
Hizo tuhuma ni za uongo na hazina uthibitisho wowote, lakini bado tunasisitiza kama kuna mtu anaushauri wa mambo ambayo hayako sawa afike Wizarani kuyawasilisha na yatafanyiwa kazi.
Hizo tuhuma za kumuhonga Spika na Wabunge ni za kipuuzi na tunapaswa kuzipuuza. Kisa akidi ya Wabunge haitukumia wakati wa mjadala, wengi walitasafiri eti Wabunge wamehongwa na kuondoka Bungeni kwenda kula maisha mjini Dar, mambo ambayo ni ya uongo.
Hizo tuhuma ni za uongo na hazina uthibitisho wowote, lakini bado tunasisitiza kama kuna mtu anaushauri wa mambo ambayo hayako sawa afike Wizarani kuyawasilisha na yatafanyiwa kazi.
Hizo tuhuma za kumuhonga Spika na Wabunge ni za kipuuzi na tunapaswa kuzipuuza. Kisa akidi ya Wabunge haitukumia wakati wa mjadala, wengi walitasafiri eti Wabunge wamehongwa na kuondoka Bungeni kwenda kula maisha mjini Dar, mambo ambayo ni ya uongo.