BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya nishati ameilalamikia serikali ya CCM kwa kile kilichoelezwa ni mzaha kwani mapendekezo ya tume yake hayajafanyiwa kazi hata kidogo huku tatizo la umeme likiwa linaendelea.
Hajui kesho bungeni atasema nini!
Hakubaliani na serikali kukodi mitambo ya kufua umeme kwa gharama ya sh 5billion, badala yake hizo pesa zingewekezwa katika mitambo mipya ya kuzalisha umeme wa maji katika mito ya Rusumo au Rufiji na kuwa mali yetu moja kwa moja!!
Source Channel10 news.
Hajui kesho bungeni atasema nini!
Hakubaliani na serikali kukodi mitambo ya kufua umeme kwa gharama ya sh 5billion, badala yake hizo pesa zingewekezwa katika mitambo mipya ya kuzalisha umeme wa maji katika mito ya Rusumo au Rufiji na kuwa mali yetu moja kwa moja!!
Source Channel10 news.