Kenenisa
JF-Expert Member
- Feb 13, 2021
- 564
- 1,100
Posta mpaka Magufuli standKilometer 38
Posta mpaka Magufuli standKilometer 38
Sijakubishia mkuu, nimeshangaa tu! Na ingekuwa upumbavu kama ningekubishia bila kuwa na uthibitisho.huwa siongei pumba mkuu ukiwa mzembe hauna mazoezi ya mara kwa mara unakuta na nimeona kwa macho yangu .
Hivi viatu vya ngozi na raba za ngozi huwa zinaisha unanunua kingine
Sahihi, mwendo wa kutembea kawaida, 43km utatumia muda usiopungua saa 11 bila kusimama au kupunguza spidi43÷9= 4.7 km/hr
Ambayo ni almost mita 80 kwa dakika
Kitua ambacho naona alkua Kama anakimbia vile, sio kutembea Tena
Huo umbali ni km 24 ambazo unatembea only 2 ro 3 hours onlyHivi stendi ya magufuli Hadi posta Kuna km ngapi nijaribu kujenga picha?
Mm naishi kwenu mkuuWatu wa mkoani wanaweza
Huoni wasukuma wanatoka mkoa Hadi mkoa na mifugo maelfu ya kilometer?
Na uzee wangu huu Km 40 huwa natembea kwa masaa 6 hadi 7.Nilikuwa nafanya mazoezi ya marathon, ila kwa kutembea mdogomdogo. Ilinichukua masaa tisa lakini nilifanikiwa
View attachment 2674816
Hauna fitness. Km 10 ni za kawaida sana.Huu ni uingo. Nlitembea 10 km miguu ikaota malengelenge sijarydia tena
Nakumbuka one day nilikuwa naendesha baiskel sasa kuna ile hutak mtu akuache njiani basi kuna jamaa nilikuwa nafukuzana nae kimya kimya kushtuka saa 10 jion naingia sengerem toka geita ile kurudi nafika kasamwa ilibidi baiskeli yangu niipand3she gariMi niliwahi tembea kwa mguu kutoka Geita mpaka sengerema, ilikuwa 2013.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Masaa tisa mi nafika chalinze kutokea ubungoNilikuwa nafanya mazoezi ya marathon, ila kwa kutembea mdogomdogo. Ilinichukua masaa tisa lakini nilifanikiwa
View attachment 2674816
Kasamwa na geita mbona karibu ila sijui why nauli ni elfu mbiliNakumbuka one day nilikuwa naendesha baiskel sasa kuna ile hutak mtu akuache njiani basi kuna jamaa nilikuwa nafukuzana nae kimya kimya kushtuka saa 10 jion naingia sengerem toka geita ile kurudi nafika kasamwa ilibidi baiskeli yangu niipand3she gari
Mkuu sadari yangu ilianzia geita near ggm nikajikuta sengerema kwenye kzrudi kufika kaswamwa upepo ndio ukakata hapo ni kama km zaidi ya 70Kasamwa na geita mbona karibu ila sijui why nauli ni elfu mbili
Hapana alikuwa hakimbii. Maana mimi natembea kilia siku jion umbali wa km 6 kwa saa.43÷9= 4.7 km/hr
Ambayo ni almost mita 80 kwa dakika
Kitua ambacho naona alkua Kama anakimbia vile, sio kutembea Tena
Mkuu sadari yangu ilianzia geita near ggm nikajikuta sengerema kwenye kzrudi kufika kaswamwa upepo ndio ukakata hapo ni kama km zaidi ya 70
Mmmmhhhh Si kweli ,kutoka Posta hadi Ubungo haizidi km 10 na Ubungo hadi kimara haizidi 4km na kimara mpaka mbezi napo haizidi 4km ,so roughly Posta to Magufuli Terminal QUOTE]Hapo umekadiria vizuri.
Mloganzila Hospital wanasema ipo km 21 kutoka MNH, ila hapa nawapinga, angalau wangesema km 24 ningekubali.
Pia linganisha, kutoka Kibaha hadi Mlandizi ni approx km 35.
Kwa hiyo Posta hadi Magufuli Terminal haiwezi kuwa km 38 maana sio mbali kama ilivyo Kibaha hadi Mlandizi.