Jerry Silaa, kama ulivyotembea kwa miguu kipindi unatafuta kura, tembelea tena uone hali ya barabara ya Kitunda

Ngurukia

JF-Expert Member
Feb 25, 2023
1,489
6,234
Jerry Slaa, ulitembea kwa miguu kutoka Banana mpaka Kitunda kuomba kura. Leo hii baada ya kupata hizo kura hujaonekana tena.

Ni fedheha kubwa kwa eneo ambalo ni mkabala kabisa na Airport kuwa na barabara ambazo zinatia aibu.
Kuna mahandaki ambayo mtu mwenye gari ndogo anafirikiria mara mbili kupita achalia mbali watembea kwa miguu.

Haya matatizo yamekuwa endelevu lakini kila mwaka mnajifanya kushangaa mkiona hali ilivyo.

Jerry Slaa, unapiga sana misele sasa hivi kujifanya unashughulukia mambo ya wizara, hebu njoo upige misele na jimboni kwako basi uone hali ilivyo.
 
Tumepata taarifa tutalifanyia kazi. Nitatembea Tena mwakani na 2025. Nina majukumu ya kitaifa na kichama Kwanza. Tuvumiliane Mimi sio wa Kwanza.
 
Si mnapewa hadi wali na bahasha kipindi kampeni?

Viongozi wetu wapo bize na mambo mengine, huko jimboni pambaneni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom