Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,798
- 12,240
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Zanzibar SIYO NCHI! Lakini ina kila alama zinazoashiria kuwa ni nchi huru yaani; ina Rais, ina bendera yake na pia ina wimbo wa taifa.
Harakati zinazoendelea hivi sasa ni kuwa Zanzibar inataka kuwa na vitu vifuatavyo: Benki kuu yake, sarafu yake na kubwa zaidi inataka iwe na uhuru wa kujiamulia mambo yake yenyewe bila ya kuingiliwa.
Wazanzibari wanataka nchi yao iwe na uhusiano na Tanganyika katika mfumo unaoshabihi uhusiano wa nchi zilizo katika jumuiya ya Ulaya.
​SWALI: Kwa nini tusiwaunge mkono katika adhma yao hiyo ili sisi Watanganyika tupate muda wa kutosha kujadili na kutatua changamoto zinazotukabili?
Harakati zinazoendelea hivi sasa ni kuwa Zanzibar inataka kuwa na vitu vifuatavyo: Benki kuu yake, sarafu yake na kubwa zaidi inataka iwe na uhuru wa kujiamulia mambo yake yenyewe bila ya kuingiliwa.
Wazanzibari wanataka nchi yao iwe na uhusiano na Tanganyika katika mfumo unaoshabihi uhusiano wa nchi zilizo katika jumuiya ya Ulaya.
​SWALI: Kwa nini tusiwaunge mkono katika adhma yao hiyo ili sisi Watanganyika tupate muda wa kutosha kujadili na kutatua changamoto zinazotukabili?