JamiiForums yalamba tuzo mbili kwa kupigania haki za kidigitali Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,035
219,019
IMG_8022.jpeg


IMG_8023.jpeg
Tuzo moja ni ya kuhusu Taasisi bora inayotetea na kuhamasisha haki za kijamii na kisiasa mitandaoni, tuzo ya pili inahusu Taasisi bora kiongozi isiyo ya kiserikali inayofanya uchechemuzi wa masuala ya kidigital na uwajibikaji.

JF Imewashukuru waandaaji wa Tuzo hizo Tanzania Digital Award (TDA) Kwa kutambua mchango wa JF katika kuhamasisha haki za kidigital.

Mungu ibariki JF
 
Sikufanya kosa kujiunga na JF. Unaweza kunichukulia kama mchezaji wa reserve wa timu kubwa kama Simba, ambaye hucheza mazoezini tu.

Hatahivyo Nimepokea maua!

Heko JamiiForums na mamebers wote.
 
Kongole kwa viongozi wa JAMIIFORUMS

Kongole kwake ndg. Maxence Mello

Kongole kwa "staff" wote wa JF

Tuzo hizi mbili ni NZITO haswaa!!

Kila la heri kwa JF kuendelea kuwa mfano wa "digital forums" nyingine na la mno ni kuendelea kuzizoa tuzo nyingi zaidi ,amen

#SiempreJMT
#TanzaniaKwanzaKablaYaNafsiZetu
 
Tuzo moja ni ya kuhusu Taasisi bora inayotetea na kuhamasisha haki za kijamii na kisiasa mitandaoni , tuzo ya pili inahusu Taasisi bora kiongozi isiyo ya kiserikali inayofanya uchechemuzi wa masuala ya kidigital na uwajibikaji

JF Imewashukuru waandaaji wa Tuzo hizo Tanzania Digital Award (TDA) Kwa kutambua mchango wa JF katika kuhamasisha haki za kidigital .

Mungu ibariki JF
 
Sikufanya kosa kujiunga na JF. Unaweza kunichukulia kama mchezaji wa reserve wa timu kubwa kama Simba, ambaye hucheza mazoezini tu.

Hatahivyo Nimepokea maua!

Heko JamiiForums na mamebers wote.
Unayo namna yako ya kutumia maneno kiufundi sana, lakini kwa mpangilio wa kipekee kabisa na kufikisha ujumbe.

Sijui ngazi yako ni ipi, lakini kama ungekuwa mwandishi (makala/vitabu/majarida), nadhani ungekuwa mwandishi mzuri sana.

Sasa sijui, kama hili umelisomea, au ni kipaji tu ulichojaaliwa na Mwenyezi Muumba wako.
 
Tuzo moja ni ya kuhusu Taasisi bora inayotetea na kuhamasisha haki za kijamii na kisiasa mitandaoni, tuzo ya pili inahusu Taasisi bora kiongozi isiyo ya kiserikali inayofanya uchechemuzi wa masuala ya kidigital na uwajibikaji.

JF Imewashukuru waandaaji wa Tuzo hizo Tanzania Digital Award (TDA) Kwa kutambua mchango wa JF katika kuhamasisha haki za kidigital.

Mungu ibariki JF
Asante kwa taarifa, Big Up JF, Big Up Maxence Melo , big up sana wana jf kwa ujumla wetu!.
P
 
Mwenyezi Mungu awabariki na kuwalinda waanzilishi Max Melo & Mike Mushi pamoja na wafanyakazi wote, bila kusahau mchango mkubwa wa members wote, Mungu ibariki Jamiiforum Mungu ibariki Tanzania.
 
View attachment 2689503

View attachment 2689504Tuzo moja ni ya kuhusu Taasisi bora inayotetea na kuhamasisha haki za kijamii na kisiasa mitandaoni, tuzo ya pili inahusu Taasisi bora kiongozi isiyo ya kiserikali inayofanya uchechemuzi wa masuala ya kidigital na uwajibikaji.

JF Imewashukuru waandaaji wa Tuzo hizo Tanzania Digital Award (TDA) Kwa kutambua mchango wa JF katika kuhamasisha haki za kidigital.

Mungu ibariki JF
Big ups!!
 
Hidumu Jamii forum
Miaka yangu kumi na tano ndani ya jf sijawahi juta
Sijutii kuichagua jf.
 
Back
Top Bottom