kwani huyu millya amehama na wadhifa wake? i.e atakuwa mwenyekiti wa vijana wa chadema mkoa wa arusha? acha woga uliopitiliza, amekaribishwa kuwa mwanachama wa chadema, millya ni mtaji pia kwa chadema, kwani anafahamu mafyongo mengi sana ya ccm, anafahamu mikakati mingi sana ya ccm taifa towards arusha ambayo kuibadili inahitaji uwe na collin powell watatu wakuplanie hiyo vita. HAKUNA WANACHOWEZA KUFANYA CCM KUWA-WIN WANA ARUSHA THEIR HEARTS AND MINDS. karibu chamani millya onyesha uaminifu kwa taifa lako.
Millya amepigwa vita sana pale arusha na mfano ni Mary Chatanda ambaye ndiye architect wa kuharibu na kuvuruga uchaguzi wa meya na baraza la madiwani la Arusha ..... tena na wengi ni top ccm leaders kama nape ...... haiwezekani leo Millya with all his top layer role atumike underground ..... naamini hii ni nafsi na dhamira ya Ole Millya ..... nilimtazama Ole Millya alivyokuwa anatangaza kwenye press hakika alikuwa anajiamini, akiwa bila wasiwasi na akionesha kuwa amejaa na uhuru aliyokuwaameukosa katika nyanja za siasa kwa muda mrefu
angalizo lazima tuelewe na tuwe makini kwamba kuna wanamapindizi kama Raila Odinga huwa wanatumia opportunities zozote zile pamoja na ku-sacrifise nafsi zao bila woga ikiwamo hata kuhama chama au kuanzisha chama kipya ili kuleta mabadiliko
nampongeza James Ole Millya kwani amefanya maamuzi bila kurudi nyuma ...... hii ninalinganisha na unafiki na ukondoo walioufanya Nape na six pale walipoanzisha CCJ kwa maamuzi yao halafu wakafyata mkia
Ole Millya ni Shujaa katika siasa za karne mpya ..... tumuunge mkono
kwani huyu millya amehama na wadhifa wake? i.e atakuwa mwenyekiti wa vijana wa chadema mkoa wa arusha? acha woga uliopitiliza, amekaribishwa kuwa mwanachama wa chadema, millya ni mtaji pia kwa chadema, kwani anafahamu mafyongo mengi sana ya ccm, anafahamu mikakati mingi sana ya ccm taifa towards arusha ambayo kuibadili inahitaji uwe na collin powell watatu wakuplanie hiyo vita. HAKUNA WANACHOWEZA KUFANYA CCM KUWA-WIN WANA ARUSHA THEIR HEARTS AND MINDS. karibu chamani millya onyesha uaminifu kwa taifa lako.
cdm a peaceful home of many tanzanians,free minds and reluxed politics.kunahitaji moyo kuchangia hoja za gilba[wabunge ambao ni wachungaji wa ccm hutetea uongo as if hakuna mungu wanaye mhubiri].james milya ana mungu ndiyo maana amejiunga na kundi la mungu.
Taarifa za kiintellegensia zimehakiki kuwa aliekuwa m/kiti uvccm na kutimkia chadema hana TATIZO na amehamia CHADEMA kwa uchungu na Uzalemdo wa nchi hii alionao.
source.over
Taarifa za kiintellegensia zimehakiki kuwa aliekuwa m/kiti uvccm na kutimkia chadema hana TATIZO na amehamia CHADEMA kwa uchungu na Uzalemdo wa nchi hii alionao.
source.over
Mm mbona umekuja ghafla ki hivyo? Je wewe nani?unashughulika na kukusanya maamuzi ya watu binafsi?eti mpaka asubuhi hii hajakuletea kusudio kama hilo??kweli mijitu mingine inapenda sifa za
kijinga