majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
Ni watu wachache sana walio ndani ya ccm wanaoweza kufikiri na kujua kuwa anguko la chama chao lipo karibu. Hameni huko, msisubiri hadi chama kiwafie mikononi mwenu, waachieni hao hao wanaorithishana uongozi akina J.K na watoto zao.
Pongezi kwako Mallya kwa kuwaachia chama chao cha magamba.
Pongezi kwako Mallya kwa kuwaachia chama chao cha magamba.