Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
.. Kajivua gamba,tunampongeza kwa kuitikia wito wa kujivua gamba.
hivi kumbe kuondoka chamani ndio kujivua gamba. Haaa nape bana, sasa kwanini ulikuwa unasema walikutafsiri vibaya
.. Kajivua gamba,tunampongeza kwa kuitikia wito wa kujivua gamba.
Sina imani naye. Historia inamhukumu. Wataondoka wengi sana huko CCM. Walikuwa wapi siku zote wasitende haki? Wanaona sasa maji yamewafika shingoni ndio wanaanza kung'atuka? Ole Millya aone aibu kumnukuu Mwalimu!
umeona eeeeeeeeeeh!nafikiri umeiona hata avatar yangu inasupport maelezo yako!he!
Kweli siasa ya ajabu.
Bora niendelee kuformat macomputer!
TBC1 Wamecover hili Tukio? mmmmmmh......au mchanganya picha kakosea tena Kama ile ya Mkapa kuwa Nassari?Mpaka 2014 mavuno yatakuwa mengi sana!
He!
Kweli siasa ya ajabu.
Bora niendelee kuformat macomputer!