MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Hata kama akifuta si kwa ajili ya kupenda bali ukweli ni kwamba hawezi shinda hiyo kesi.
hizi ni siasa za maji taka, leo mbatia kafuta kesi dhidi ya mdee.
Source: East afrika radio saa 10 jioni
Ni tetesi nilizopata. mwenye data zaidi amwage hapa.
Nawasilisha.
mbatia anavyopenda umwinyi akubali kufuta kesi aliyokua anaelekea kushinda? sidhani labda uniambie alikua anaelekea kushindwa.
We mpuuzi,sasa kama hujui sheria inasemaje utaivaliaje njuga hiyo kesi? mafiriri kwetu maana yake sio mwelevu.Kama mkazi wa Kawe hiyo kesi nitaivalia njuga; sijui sheria inasemaje?
Kama mkazi wa Kawe hiyo kesi nitaivalia njuga; sijui sheria inasemaje?
serikali haina pesa za kuendeshea kesi za uchaguzi ndiyo. Mbatia baada ya kugundua kwamba hiyo kesi na zingine nyingi hazitaweza kutolewa maamuzi mpaka uchaguzi ujao, then akaamua kufuta kwa ajili ya kuhadaa wananchi. Kumbukeni kauli ya jaji wa mahakama mwezi december 2011, kwamba waliomba around tsh. 3 bilion kwa ajili ya kuendeshea kesi za uchaguzi lkn wmeishia kupewa tu tsa. Mill 300 ambazo hazijatosheleza kuendeshea hata kesi 4 tu. Hivyo, ni dhairi kabisa mbatia ameona bora afute kesi ili ajijengee heshima mbele ya wale wasioelewa kinachoendelea serikalini.
Ninakuambia na hili; kwamba hata kafulila na hamad rashid kesi zitafika mpaka uchaguzi ujao na hakuna pesa za kufanyia uchaguzi upya. Ndiyo maana niliwaambia kwamba ccm hawawezi kumfukuza ubunge hamisi kigwangala, kwani hata pesa ya uchaguzi ni kazi kubwa sana serikalini kwa sasa.
Hata wale wanaozidi kupoteza resource zao kuendeshea kesi za uchaguzi, mimi nawaonea huruma kwani hakuna pesa serikalini; hivyo kesi zitapigwa tarehe bila kutolewa maamuzi mpaka uchaguzi ujao.
Wadau, nikiwa kama mhusika mkuu kwenye kesi. Napenda kuwahakikishia wanajamii pamoja na watanzania kwa ujumla kwamba Uamuzi wa mhe Mbatia wa kiuifuta kesi dhidi yangu ni dhamira yake njema ya kulinda maslahi mapana ya upinzani nchini. Nimesoma comments za wanajamii kadhaa ,baadhi yao wakifikiria labda kuna 'chochote kilichotolewa''ili kufanikisha kufutwa kwa kesi hiyo . Niwahakikishieni kwamba hakuna kilichotolewa zaidi ya nia njema ya pande zote mbili. Kwa waliokuwa wakijipanga kukomboa jimbo kwa gharama yoyote imekula kwao!
Najua mengi yatasemwa...lakini haiwezekani kuzuia binadamu kuzungumza. Nichukue fursa hii kuwashukuru kwa dhati timu ya CHADEMA (chama changu) na NCCR MAGEUZI kwa kulifanikisha hili.
Mheshimiwa karibu sana JF, na hongera kwa tukio hili.Wadau, nikiwa kama mhusika mkuu kwenye kesi. Napenda kuwahakikishia wanajamii pamoja na watanzania kwa ujumla kwamba Uamuzi wa mhe Mbatia wa kiuifuta kesi dhidi yangu ni dhamira yake njema ya kulinda maslahi mapana ya upinzani nchini. Nimesoma comments za wanajamii kadhaa ,baadhi yao wakifikiria labda kuna 'chochote kilichotolewa''ili kufanikisha kufutwa kwa kesi hiyo . Niwahakikishieni kwamba hakuna kilichotolewa zaidi ya nia njema ya pande zote mbili. Kwa waliokuwa wakijipanga kukomboa jimbo kwa gharama yoyote imekula kwao!
Najua mengi yatasemwa...lakini haiwezekani kuzuia binadamu kuzungumza. Nichukue fursa hii kuwashukuru kwa dhati timu ya CHADEMA (chama changu) na NCCR MAGEUZI kwa kulifanikisha hili.
Hongela viongozi wa CDM na NCCR kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa na upeo wa haliya juu wa kufikiri hasa zaidi Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi kwa hatua hiyo makini!!!!! Kupitia mchango huu namuomba Mwenyekiti Mbatia arudishe moyo wake wa huruma amsamehe kijana Mbunge wa NCCR Mheshimiwa David Kafulira ili chama kizidi kuimarika badala ya kukibomoa!!! Mheshimiwa Halima tafadhari ni vipi kiwanda chetu cha nyama cha Tanganyika Parkers, kuna utaratibu gani wa kukiendeleza????Wadau, nikiwa kama mhusika mkuu kwenye kesi. Napenda kuwahakikishia wanajamii pamoja na watanzania kwa ujumla kwamba Uamuzi wa mhe Mbatia wa kiuifuta kesi dhidi yangu ni dhamira yake njema ya kulinda maslahi mapana ya upinzani nchini. Nimesoma comments za wanajamii kadhaa ,baadhi yao wakifikiria labda kuna 'chochote kilichotolewa''ili kufanikisha kufutwa kwa kesi hiyo . Niwahakikishieni kwamba hakuna kilichotolewa zaidi ya nia njema ya pande zote mbili. Kwa waliokuwa wakijipanga kukomboa jimbo kwa gharama yoyote imekula kwao!
Najua mengi yatasemwa...lakini haiwezekani kuzuia binadamu kuzungumza. Nichukue fursa hii kuwashukuru kwa dhati timu ya CHADEMA (chama changu) na NCCR MAGEUZI kwa kulifanikisha hili.
Wadau, nikiwa kama mhusika mkuu kwenye kesi. Napenda kuwahakikishia wanajamii pamoja na watanzania kwa ujumla kwamba Uamuzi wa mhe Mbatia wa kiuifuta kesi dhidi yangu ni dhamira yake njema ya kulinda maslahi mapana ya upinzani nchini. Nimesoma comments za wanajamii kadhaa ,baadhi yao wakifikiria labda kuna 'chochote kilichotolewa''ili kufanikisha kufutwa kwa kesi hiyo . Niwahakikishieni kwamba hakuna kilichotolewa zaidi ya nia njema ya pande zote mbili. Kwa waliokuwa wakijipanga kukomboa jimbo kwa gharama yoyote imekula kwao!
Najua mengi yatasemwa...lakini haiwezekani kuzuia binadamu kuzungumza. Nichukue fursa hii kuwashukuru kwa dhati timu ya CHADEMA (chama changu) na NCCR MAGEUZI kwa kulifanikisha hili.
Wadau, nikiwa kama mhusika mkuu kwenye kesi. Napenda kuwahakikishia wanajamii pamoja na watanzania kwa ujumla kwamba Uamuzi wa mhe Mbatia wa kiuifuta kesi dhidi yangu ni dhamira yake njema ya kulinda maslahi mapana ya upinzani nchini. Nimesoma comments za wanajamii kadhaa ,baadhi yao wakifikiria labda kuna 'chochote kilichotolewa''ili kufanikisha kufutwa kwa kesi hiyo . Niwahakikishieni kwamba hakuna kilichotolewa zaidi ya nia njema ya pande zote mbili. Kwa waliokuwa wakijipanga kukomboa jimbo kwa gharama yoyote imekula kwao!
Najua mengi yatasemwa...lakini haiwezekani kuzuia binadamu kuzungumza. Nichukue fursa hii kuwashukuru kwa dhati timu ya CHADEMA (chama changu) na NCCR MAGEUZI kwa kulifanikisha hili.
Kwenye ndoa ya ccm vs CUF ianjulikana nanni 'me' na nan 'ke' sasa hapo nccr na chadema nan anavalishwa shela?
Wadau, nikiwa kama mhusika mkuu kwenye kesi. Napenda kuwahakikishia wanajamii pamoja na watanzania kwa ujumla kwamba Uamuzi wa mhe Mbatia wa kiuifuta kesi dhidi yangu ni dhamira yake njema ya kulinda maslahi mapana ya upinzani nchini. Nimesoma comments za wanajamii kadhaa ,baadhi yao wakifikiria labda kuna 'chochote kilichotolewa''ili kufanikisha kufutwa kwa kesi hiyo . Niwahakikishieni kwamba hakuna kilichotolewa zaidi ya nia njema ya pande zote mbili. Kwa waliokuwa wakijipanga kukomboa jimbo kwa gharama yoyote imekula kwao!
Najua mengi yatasemwa...lakini haiwezekani kuzuia binadamu kuzungumza. Nichukue fursa hii kuwashukuru kwa dhati timu ya CHADEMA (chama changu) na NCCR MAGEUZI kwa kulifanikisha hili.