hili tukio mlilitokea irnga sehemu inaitwa DON BOSCO tarehe 10.october 2011 siku ya jumatatu..,jamaa alikutwa na sanda ya kuzikia na nguo za baadhi ya nguo za aliowaua...polisi walipofika kwake,jamaa akakimbia kwa kupitia "emmergency door " alioitengeneza...ila wananchi wakaichoma na kuiteketeza nyumba yake..alikwa kaoa wanawake watatu ,mabinti amba ndio walipelekwa polisi pamoja na baba yake jambazi ambae alikuwa jirani na mwanae....more to follow...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.