hamidshaban
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 262
- 32
TBC jana imeonesha maiti zikiwa zimezagaa ovyo na nyingine vichakani! Foleni yenye urefu wa 50Km. Wastan wa w2 7 hufa kila siku
Nadhani Ungefanyika Utaratibu wa angalau wagonjwa mahututi wanaofika hapo wawe na 1st priority ili kunusuru ongezeko la vifo!!
Nadhani Ungefanyika Utaratibu wa angalau wagonjwa mahututi wanaofika hapo wawe na 1st priority ili kunusuru ongezeko la vifo!!
Nadhani Ungefanyika Utaratibu wa angalau wagonjwa mahututi wanaofika hapo wawe na 1st priority ili kunusuru ongezeko la vifo!!
You guys are so gullible!!! you actually believe that concoction works. Watu waende hospitali sio kutafuta madawa ya kienyeji.
Watu wanawatoa wagonjwa mahutihuti hospitalini nanawapeleka loliondo,Sioni sababu ya kumlaumu mchungaji kwani alishaonya Kutokuwatoa wagonjwa Hospitalini
Kwa hali ya kawaida kama mgonjwa ni mahututi halafu unampeleka kwenye mazingira magumu,hakuna chakula,hakuna sehemu ya kulala,hakuna maji kwa kifupi hakuna huduma muhimu ni kama unafanya advanture kwa hali hii ni lazima atakufa tu
Keep quiet, Dont call our govt leaders such a name!
TBC jana imeonesha maiti zikiwa zimezagaa ovyo na nyingine vichakani! Foleni yenye urefu wa 50Km. Wastan wa w2 7 hufa kila siku
Badilisha avatar yako kwanza ndo ufanye maombiukweli karibu utajulikana.
mi naendelea na maombi ili roho hii ifunuliwe mapema, watanzania waijue ni roho gani iliyoleta huu ufunuo huko samunge
utukufu ni wake Mungu
So let me get this straight, 52 people had died senselessly and you are busy defending the government? That's what makes the difference between kenya and tz. In kenya the pressure on the government from media, civil rights groups and general public would be so great someone would have to be fired especially the government administration in that particular area.
So let me get this straight, 52 people had died senselessly and you are busy defending the government? That's what makes the difference between kenya and tz. In kenya the pressure on the government from media, civil rights groups and general public would be so great someone would have to be fired especially the government administration in that particular area.
Ni kweli watu wanakufa na watu hawasikii wanazidi kusafiri na kujaribu kwenda huko. Kwenda kule kwa kipindi hiki ni sawa na kuikabidhi roho yako kwa Lucifer. Kipindi cha mvua eneo lote la Lake Natron ni hatari sana. Mito hufurika tena sio kwa mvua zinyeshazo eneo hila ila hupokea mafuriko toka miinuko ya Ngorongoro. Mnaweza kuona Natron ni pakavu kabisa mara unaona mito imefurika! Hii sio barabara ya kutumainiwa kwa sasa kwenda Loliondo. Wanaambiwa wafuate utaratibu though gov yetu haijaweka utaratibu. Hatuihitaji elimu chuo kikuu kuweka utaratibu wa kwenda huko! The leaders have already gone there. They have seen the real situation! Wanasema wanakaa vikao and they of course sitting allowance! Serekali inaweza kuchukua hatua za dharura kwa kuweka kituo cha dharura kila mkoa na kuratibu wagonjwa wote wanaoenda Loliondo. Wakifika kujiandikisha watapewa tarehe na namba ya maalumu. Hizi namba na majina yatumwe Loliondo na tarehe wanazotegemewa kuweko kule. Kama huna namba na tarehe uliyopangiwa hupewi huduma!
Tukianza kuratibu toka mjini tutaanza kuona watu wanapungua. Na hata huduma zitakuwa za haraka. Mbona KCMC wanatoa appointment na watu wanafuata! Inawezekana kabisa pia kudhibiti wageni toka nje ya nchi na tukawa na takwimu pia.
Kwa mfano kwenda Loliondo kwa usalama lazima upite Ngorongoro then ukifika sehemu fulani maarufu Golini uaenda Loliondo then Digodigo halafu unaingia kwa Babu! ikilazimu sana utapitia Serenget to Cleins to Loliondo. Raia wa nchi ya kigeni atalipia entries kwa route zote hizi and with that our partks will earn some amount from Loliondo issue.
Kule sasa ni vurugu! Kuna wasomali ambao wanatokea pande za Kenya. Idara ya uhamiaji wameweka kambi pale lakini hatusikii wakisema ni wangapi wamekiuka taratibu za nchi yetu. Kuna ndugu zetu Wakenya wamejenga mahema na vyoo vyao pale! Na raia wa nchi mbalimbali wako pale wanafanya biashara! Serikali inaendelea kusema tutatuma hiki mara kile lakini hakuna kinachofanyika.
Tuanzie kuratibu kwa kupitia vituo vitakavyowekwa mjini na ikibidi watu wajulikane wanaenda kutibiwa nini! Sio kila mtu tu anaamua kujiendea!
TBC jana imeonesha maiti zikiwa zimezagaa ovyo na nyingine vichakani! Foleni yenye urefu wa 50Km. Wastan wa w2 7 hufa kila siku