Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,830
Kijiwe cha mgahawa, mahanjumati kikisindikizwa na bar yenye kila aina ya mvinyo kwa wakazi wa Kawe, Mikocheni na maeneo ya jirani kimeshushwa rasmi baada ya jana tingatinga kukigeuza njia yake.
Mgahawa na baa ya tripple 7 umekuwepo tangu enzi mjini Dar ikilishinda soko kwa pande hizo. Changamoto pekee kwenye kijiwe ilikuwa ni wizi uliopitiliza wa wahudumu. Siku moja nilipiga simu kuagiza chips kavu mbuzi, aloo wakasema 70k.. Nilipoenda physically wakasema walihisi lafudhi ya kizungu 🤣 🤣
Kumbe walishaletwa humu kwa wizi: Wahudumu wa Triple 7 Bar Mikocheni acheni wizi
Tetesi zinasema kuna kibopa kaweka mpunga, landlord akanyanyua tu simu kumpa notice tenant ambaye ni tripple 7 afungashe virago.
Mgahawa na baa ya tripple 7 umekuwepo tangu enzi mjini Dar ikilishinda soko kwa pande hizo. Changamoto pekee kwenye kijiwe ilikuwa ni wizi uliopitiliza wa wahudumu. Siku moja nilipiga simu kuagiza chips kavu mbuzi, aloo wakasema 70k.. Nilipoenda physically wakasema walihisi lafudhi ya kizungu 🤣 🤣
Kumbe walishaletwa humu kwa wizi: Wahudumu wa Triple 7 Bar Mikocheni acheni wizi
Tetesi zinasema kuna kibopa kaweka mpunga, landlord akanyanyua tu simu kumpa notice tenant ambaye ni tripple 7 afungashe virago.