trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Nenda Kisuma Bar
wadau wana Jf naomba msaada kama kichwa kinavyo jielezea kwani nina hamu sana na hiyo kitu..
Ulizia ni Temeke Mwembeyanga. Ila kuna bar zake tanzu Mbagala sabasaba na Magomeni kagera
Hapana. Morogoro aende kwa Mella pale mjimpya opposite na DDCKama upo Morogoro nenda Savoy
Nenda Congo Bar kariakoo au Chipolopolo Magomeni
congo bar ndo kwenyeweNenda Congo Bar kariakoo au Chipolopolo Magomeni
Wajina!
Hapa ndio penyewe! Kila w.end lazima nishinde hapa
kuna mnada mbauda wamasai wanachoma mbuzi vizuri huko
mkuu nipo UDSM..nitashuru sana
Neda ..................au Yenu pande za Ubungo.
Nguruko ya makonde.nguruko ipi ya Makonde au ile Annex pale shule??nliwahi pata pale makonde wako smart sana!