The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
lady, woman, girl, hawa...
umenipata?
nakuja pm
i hope ur hubby does not satisfy you lol
lady, woman, girl, hawa...
umenipata?
Unajua kwa nini wanakuwa watamu sana? Hawana stress za maisha kama wewe unayekaa ofisini kwenye ma conference, wao wazingira yao ni ya kingo ngono tu muda wote, wanajifunza na kujadilli hayo mambo kila wakati Na ndio wanunuzi wa magazeti ya Udaku! Wakipata nafasi,,,,, wanafidia kile wanachokosa kwingine...
Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.
Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe
Thread nyingine hizi zinafanya tuanze kuwaangalia ma hausigeli wetu kwa jicho la matamaniowatu wachafu wachafu kama makonda, wauza vitumbua, mama lishe ma hausgel, na mahausboi wanakuwaga watamu sana
Bhoke wa Waganda jamani, msimsakame sana. Kile kitumbua ni chake, hamna anayemsaidia kuvuja damu ya mwezi, hivyo ana maamuzi yake mwenyewe na anafanya atakaloSasa hii mada inaonyesha uasilia wa wamama walio kwenye ndoa au ni extreme case. Tusidhalilishane jamani. Ni sawa na kumchukulia Bhoke kama mwakilisi wa tabia za wadada wote wa bongo!
acha uchiziBhoke wa Waganda jamani, msimsakame sana. Kile kitumbua ni chake, hamna anayemsaidia kuvuja damu ya mwezi, hivyo ana maamuzi yake mwenyewe na anafanya atakalo
you are a woman,right?try to keep yr womanhood and dont make such personal attack to others,be polite and sincereMbona huwasemi wanaume wenye wake wazuri, wanaotembea na Housegirls wao? Sifagilii infidelity iwe imefanywa na mwanaume au mwanamke! Kinachonikera kosa akifanya mwanamke linakuwa so magnified! Na hasa inanikera zaidi ni pale wanawake tunavyokuwa wa kwanza kushutumu wanawake wengine bila kuvaa viatu vyao!What r u trying to tell male folks; that u r a perfect wife material? Go ahead, maybe it will take u somewhere!
Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.
Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe
hizo dawa mnazopaka kichwani na mikorogo mnayopaka inasababisha mbunye zenu ziwe zinawasha na mna hitaji kukunwa kila wakati, ndio maana hamridhiki na bwana mmoja
tatizo lenu ni tamaa na kuendekeza ndulele(ushirikina) ndo sababu yanawapata haya
si itikadi zenu mnazofanya alafu pia ushauri mbovu mlionao na kudanganyana sanaaa ndo mana mnajikuta mnadondokea kwa hao watu. Alafu pia mnapenda kuiga sana nyny binadamu mnapenda sana kuiga mana mkiona kwny Tv ndo nazani ni hvyo sivyo hvyoushirikina umekujaje?
kweli mapenzi ni upofueeeeeeeewqqKwasababu Mapenzi ni zaidi ya mali na elimu uliyonayo.
si itikadi zenu mnazofanya alafu pia ushauri mbovu mlionao na kudanganyana sanaaa ndo mana mnajikuta mnadondokea kwa hao watu. Alafu pia mnapenda kuiga sana nyny binadamu mnapenda sana kuiga mana mkiona kwny Tv ndo nazani ni hvyo sivyo hvyo
sasa huamin au hutaki?et ennh?