Jamani wanawake tuna matatizo gani?

Nazjaz

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
7,684
8,832
Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.
Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe
 
hizo dawa mnazopaka kichwani na mikorogo mnayopaka inasababisha mbunye zenu ziwe zinawasha na mna hitaji kukunwa kila wakati, ndio maana hamridhiki na bwana mmoja
 
Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.
Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe

tatizo binadamu halidhiki hata umfanyie nini hatosheki
 
Matatizo yenu ni either HAMJATULIA.... HAMJARIDHIKA....TAMAA ZINAWASUMBUA..na kuendelea!
 
Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.
Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe
Nazjaz mpenzi...hujambo mama?

Ni hivi: Penzi ni zaidi ya Elimu na Kipato...........!

Au unataka kutuambia kosa hapo ni kumegwa na house boy au driver? Kwa hiyo akimegwa na mbunge ruksa kwakuwa amesoma na ana kipato?
 
Wengine utakuta zamani walipokuwa na X wao kabla ya ndoa walikuwa wanakunwa vizuri,sasa kama husband wake hafikii hata robo ya aliyekuwa naye zamani ataridhika vipi!lazima atafute wa kumkuna ipasavyo.
 
Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.
Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe


I can not believe this is from a woman!! Are you married? Are you financial stable? More importantly, ARE YOU SATISFIED SEXUAL?
According to my simple understanding, women who did it, are not satisfied sexually!
For that matter, our reactions also difer, some would communicate with their spouse and work out a solution, some of them would keep quite, wakifa ndani nadani, the rest.... watatoka nje ya ndoa na wanaume watakaoweza kuwa satisfy...Period!
 
watu wachafu wachafu kama makonda, wauza vitumbua, mama lishe ma hausgel, na mahausboi wanakuwaga watamu sana

Unajua kwa nini wanakuwa watamu sana? Hawana stress za maisha kama wewe unayekaa ofisini kwenye ma conference, wao wazingira yao ni ya kingo ngono tu muda wote, wanajifunza na kujadilli hayo mambo kila wakati Na ndio wanunuzi wa magazeti ya Udaku! Wakipata nafasi,,,,, wanafidia kile wanachokosa kwingine...
 
I can not believe this is from a woman!! Are you married? Are you financial stable? More importantly, ARE YOU SATISFIED SEXUAL?
According to my simple understanding, women who did it, are not satisfied sexually!
For that matter, our reactions also difer, some would communicate with their spouse and work out a solution, some of them would keep quite, wakifa ndani nadani, the rest.... watatoka nje ya ndoa na wanaume watakaoweza kuwa satisfy...Period!

okada gender yako tafadhali ni ipi?
 
Nadhani hili tatizo halichagui jinsia au kabila...., ni tabia tu za watu, hata kama wakisoma, wasisome au wakiwa na kipato kidogo au kikubwa. Pia kumbuka kuna needs tofauti tofauti..., and financial needs ni tofauti kabisa na sexual needs na status needs...

Kumbuka "Clothers Dont Make A Pirate" na kisomo au utajiri wa mtu is like "Putting Lipstick on a Pig" haibadilishi character ya yake.
 
Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe
Mbona huwasemi wanaume wenye wake wazuri, wanaotembea na Housegirls wao? Sifagilii infidelity iwe imefanywa na mwanaume au mwanamke! Kinachonikera kosa akifanya mwanamke linakuwa so magnified! Na hasa inanikera zaidi ni pale wanawake tunavyokuwa wa kwanza kushutumu wanawake wengine bila kuvaa viatu vyao!What r u trying to tell male folks; that u r a perfect wife material? Go ahead, maybe it will take u somewhere!
 
I can not believe this is from a woman!! Are you married? Are you financial stable? More importantly, ARE YOU SATISFIED SEXUAL?According to my simple understanding, women who did it, are not satisfied sexually!For that matter, our reactions also difer, some would communicate with their spouse and work out a solution, some of them would keep quite, wakifa ndani nadani, the rest.... watatoka nje ya ndoa na wanaume watakaoweza kuwa satisfy...Period!
unaongea kizungu, nani kakwambia kuwa nazjaz anajua ki inglishi?
 
Back
Top Bottom