Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.
Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe
Nazjaz mpenzi...hujambo mama?Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.
Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe
Matatizo yenu ni either HAMJATULIA.... HAMJARIDHIKA....TAMAA ZINAWASUMBUA..na kuendelea!
Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.
Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe
watu wachafu wachafu kama makonda, wauza vitumbua, mama lishe ma hausgel, na mahausboi wanakuwaga watamu sana
I can not believe this is from a woman!! Are you married? Are you financial stable? More importantly, ARE YOU SATISFIED SEXUAL?
According to my simple understanding, women who did it, are not satisfied sexually!
For that matter, our reactions also difer, some would communicate with their spouse and work out a solution, some of them would keep quite, wakifa ndani nadani, the rest.... watatoka nje ya ndoa na wanaume watakaoweza kuwa satisfy...Period!
okada gender yako tafadhali ni ipi?
Mbona huwasemi wanaume wenye wake wazuri, wanaotembea na Housegirls wao? Sifagilii infidelity iwe imefanywa na mwanaume au mwanamke! Kinachonikera kosa akifanya mwanamke linakuwa so magnified! Na hasa inanikera zaidi ni pale wanawake tunavyokuwa wa kwanza kushutumu wanawake wengine bila kuvaa viatu vyao!What r u trying to tell male folks; that u r a perfect wife material? Go ahead, maybe it will take u somewhere!Utakuta mtu amesoma, ana kazi nzuri na hela ya kutosha, mume pia anaye, tena mwenye hela zake nyingi, lakini mdada anaenda kutembea na hausboi, au dereva aliye mwajiri mwenyewe.Aibu na kudharauliwa wakati mwingine twajitakia wenyewe
unaongea kizungu, nani kakwambia kuwa nazjaz anajua ki inglishi?I can not believe this is from a woman!! Are you married? Are you financial stable? More importantly, ARE YOU SATISFIED SEXUAL?According to my simple understanding, women who did it, are not satisfied sexually!For that matter, our reactions also difer, some would communicate with their spouse and work out a solution, some of them would keep quite, wakifa ndani nadani, the rest.... watatoka nje ya ndoa na wanaume watakaoweza kuwa satisfy...Period!