Ole Tetian
Member
- May 30, 2011
- 39
- 9
Kama ulivyosema iwe imefanywa na mwanaume au mwanamke haijalishi,pia Haijalishi iwe imesemwa na mwanamke au mwanaume vyote sawa.sasa unakereka nini zaid anaposema mwanamke?au angesema mwanaume ndo ungeridhika na kuona kuwa ni sahihi!Acha mfumo jike banaa!Mbona huwasemi wanaume wenye wake wazuri, wanaotembea na Housegirls wao? Sifagilii infidelity iwe imefanywa na mwanaume au mwanamke! Kinachonikera kosa akifanya mwanamke linakuwa so magnified! Na hasa inanikera zaidi ni pale wanawake tunavyokuwa wa kwanza kushutumu wanawake wengine bila kuvaa viatu vyao!What r u trying to tell male folks; that u r a perfect wife material? Go ahead, maybe it will take u somewhere!