Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,815
- 11,129
Huyo hajakulia kwao au ana kasoro zinazomfanya anaogopa kupigwa kibuti. Au, au, au ana ile kazi maarufu ya wachagga.
Watumbatu na Wangazija ni waaminifu sana na wana maadili;Faiza tuweke kando tofauti zetu ndogo za kiitikadi za vyama!
Tuanze kubadilishana mawazo kwenye PM zetu if possible ahahahaha!