Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,176
Last edited by a moderator:
Utafiti wangu nimebaini kila mwanaume mmoja ana uwezo wa kumiliki wanawake 3 ratio ipo 1:3
mmekua adimu halafu wengi network hazikamati, hii hatari thatha
Hata kama utawa grade lakini uanaume wao utabaki pale pale, hizo zingine zinabaki kuwa tabia za watu tuu, kitu ambacho haiwezekani watu wote wakawa na tabia moja na hasa uipendayo wewe. Kwani mlevi hana joka la kibisaaaa???? maana ndo uanaume unaanzia hapo.
Haya twendelee
mi nalia na wanawake wanao wavisha watoto wao nguo za kike hawa ndo wanasababisha idadi ya mashoga inaongezeka nchini haswa haswa huu ukanda wa Pwani na vitongoji vyake.
Mnatumia sayansi nadharia au sayansi ya vitendo?
Mie napenda maarifa ya nyumbabi na sayansi kimu.
I see, km ndo uchache huo mnaouongelea kwa dhana hiyo ya kutumbukiza na kupiga bao basi bora muishie wote tu, hamna maana.
Kwa hiyo ww mkeo/girfriend/fiance wako ndo unavyomfanyia? Unachomeka kikojoleo unakojoa basi na kazi yako km mwanaume inaishia hapo?
sasa mbona tunagombewa ka mpira wa kona?
yaani we acha tu........
Kwa hasira uliyopata nashindwa kupata picha,
Hope uko mzima Koku na gift wetu anaendelea vizuri!!
Babu DC!!
so you mean na eeehhh mtu flan nae ni mwanamke gauni? nimPM nimwambie aje hapa asome maneno yako? kama hajakutwanga na mwiko! unamjua unamchezea?Na wanawake wanaoujua uanamke wapo wengi? Maana kila ninakoangaza naona wanawake wanaovaa suruali kama wanaume....so ngoma droo au?
jana kuna wanawake kidogo wauane kisa bishanga,ndo humu jf/mmu huwa nashangaa baadhi ya wanawake wakisema eti....mme/bwanangu akini cheat namuacha hapo hapo,subutu yao!Bishanga umeona nini asubihi na mapema kuja na uzi huu
Kweli wanaume wamebaki wachache sana wengi wa wanaume waliopo wanaoneana kuvaa suruali ni wa kiume sio wanaume