Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,638
- 2,720
Kwa kweli Bongo tuna wasanii wa kike wa kujivunia. Hasa Recho na Jide. Nyimbo zote za Recho zinanibamba kinoma. Ukianza na Mwali Kigego, Umependeza na huu wa Sasa Nikumbate. Kiufupi Recho ni Rihana wa Bongo. Pia Jide naye yuko vizuri. hasa wimbo wake wa iweje uwe historia na nyingine nyingi.
Napenda kuwapa big up sana hawa wasanii.
Napenda kuwapa big up sana hawa wasanii.