Jamani PSPF wameshaita watu kazini?

Kalunguine

JF-Expert Member
Jul 27, 2010
2,543
134
Nlifanya interview ya oral PSPF walisema wangeita watu january.
Mwenye taarifa,msaada please.
 
ondoa fikra za kuajiriwa......hii dunia inaongozwa na wajasiriamali...
 
Ni kweli mkuu but kuajiriwa hata ya mwanzo ya kwenda kwenye ujasiriamali.
 
hzo ndo fikra potof believe me...elim ulokua nayo ni investment tosha kabisa...
 
kuna taarifa zisizo rasmi kwamba hadi wamtangaze managing director mpya ndo kila kitu kitakuwa hadharani. Lakini ndg yangu hawa jamaa nasikia tayari kuna vimemo vingi vimeshapita, na zile nafasi zilikuwa kumi na siyo nane. watu wawili tayari walishajulikana zamani.
 
wazo la kujiajiri ni zuri but lina style yake kaka.watu mnadhani kujiajiri ni kitu kirahisi, rahisi tu. watu tunakaa kwa ndugu zetu, msosi wa kuvizia,shule tumesoma kwa tabu, hadi budget ya nauli inagoma.unadhani kujiajiri itakuwa rahisi?
 
wazo la kujiajiri ni zuri but lina style yake kaka.watu mnadhani kujiajiri ni kitu kirahisi, rahisi tu. watu tunakaa kwa ndugu zetu, msosi wa kuvizia,shule tumesoma kwa tabu, hadi budget ya nauli inagoma.unadhani kujiajiri itakuwa rahisi?

Wengine wanaongea tu kujiajiri kujiajiri wakati pengine hawana hata biashara yoyote,mimi huwa hawanisumbui kwa sababu nachanganya na zangu
 
hzo ndo fikra potof believe me...elim ulokua nayo ni investment tosha kabisa...

Mazingira ya tz yana vikwazo vingi sana kwa wajasiriamali,kibiashara kidogo tu wanakuambia ukaandikishe mambo chungu nzima
 
Acheni kumkatisha tamaa mwenzenu, haiwezekani kila mtu akajiajiri lazima wengine waajiriwe, au wewe ushaona wapi mtu kajiajoiri afu kazi zake zote anafanya peke yake, ukweli ni kwamba mwisho wa siku lazima wengine waajiriwe. Pia unaweza ukaanza na kuajiriwa then ukajiajiri badae yaani unatafuta pakutokea
 
uitwe kazini wakati ile ya kwanza ilikuwa ni just an amptitude test,kuna interview ya pili mjomba,oral,kama mlishaitwa ya pili sawa
 
kuna taarifa zisizo rasmi kwamba hadi wamtangaze managing director mpya ndo kila kitu kitakuwa hadharani. Lakini ndg yangu hawa jamaa nasikia tayari kuna vimemo vingi vimeshapita, na zile nafasi zilikuwa kumi na siyo nane. watu wawili tayari walishajulikana zamani.
Poa mkuu kweli ukimkuta kobe juu ya mti ujue kapandishwa.
 
Muulize aliyekufanikisha mpaka ukafanya hiyo oral, taarifa atakuwa nazo tu. Au ndo jembe limeisha makali?
Mkuu kama unategemea "kamlete" imekula kwako,mimi napambana hiyo ofisi simjui hata mlinzi.nlijibeba ckubebwa.
 
watu wengine sijui wakoje. aliyemfanikisha kufanya hiyo oral ni haohao pspf, na walisema watu wategemee taarifa kwa njia kama hizohizo za mawasiliano kama simu, gazetini na kwenye web yao. sasa wapo kimya. unadhani huyo mtu akaulize wapi? hata ndugu yangu kaambiwa hivyohivyo, so watu wanachokiandika wanakijua na wanataka kupata majibu, weye waleta mchezo au kwavile una kazi?
 
Back
Top Bottom