Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Jamani nina rafiki yangu wa karibu sana. Alisafiri kama miezi 2 hiv kwenda nje kimasomo, kama kawaida mimi ni mtu wake wa karibu hivyo aliniachia majukumu ya kumuangalizia familia yake. Sasa amerudi juzi j1. Leo kanifuata nyumbani kistaarabu na kuniambia kuwa tangia afike amekuwa akimshangaa mke wake anatajataja sn jina langu hasa wanapokuwa kitandani wakila tunda. Mimi nimeshindwa la kumjibu nimemwambia nitaenda kwake jioni tuongee kifamilia lkn lengo langu kubwa ilikuwa nije kupata ushauri huku.