maana mwana mke akiwa na umbo namba nane watu husifu sana. pia kilichonisukuma zaidi niiulize jamiiforums nilipanga tarehe 16 mwezi 8 nimvishe pete mchuba marafiki zangu wakasema sio siku nzuri na badala yake wakapendekeza iwe 18-8 na wakadai ni siku yenye bahati jamani nikweli hiiii?????????