MR. DRY
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 637
- 122
Nipo katika mkoa wa kilimanjaro,nilikuwa najipatia msosi mahali moshi town, nikawa nimekaa meza moja na jamaa ghafla akaongezeka mama(around 30's).kumbe alikuwa mgen wa jamaa. Maongezi yao:
jamaa anapiga shughuli za ukonda arusha-moshi, mmama ni mkeo wa mtu na pete anayo.
Jamaa: vipi mzee mzima?
Mama: mzima ila ameniaga tangu juma2.
jamaa: ameenda wapi ss?
Mama: sijui ameniaga tu!
Jamaa: sasa wewe ulienda wapi mbona hukunitafuta?
Mama: mm nilikuwepo si kwenda mahali!
Jamaa: una uhakika.....!
Mama: ndio!
Jamaa: basi nitaangalia leo kama kweli tokea juma2 mmeo ndo amekuaga!
Wakaniangalia kama ninawasikiliza.
Akachukua simu ya mama anapekuwa,
mama: acha basi kupekuwa simu kwenye meseji.
Jamaa: naangalia meseji za mmeo anazokutumia........!
(wakawa wanapiga stori nyingine....)
Jamaa: fanya fasta basi tuna chelewa.....!
Sasa nikajiuliza huyu mke wa mtu toka arusha hadi moshi inamaana haridhiki na mme wake?
Je kweli ndo msemo demu wako wa zamani hata kama ameolewa una-access anytime!
This is not a story, nikweli kabisa kwa masikio,macho nimeshuudia.
jamaa anapiga shughuli za ukonda arusha-moshi, mmama ni mkeo wa mtu na pete anayo.
Jamaa: vipi mzee mzima?
Mama: mzima ila ameniaga tangu juma2.
jamaa: ameenda wapi ss?
Mama: sijui ameniaga tu!
Jamaa: sasa wewe ulienda wapi mbona hukunitafuta?
Mama: mm nilikuwepo si kwenda mahali!
Jamaa: una uhakika.....!
Mama: ndio!
Jamaa: basi nitaangalia leo kama kweli tokea juma2 mmeo ndo amekuaga!
Wakaniangalia kama ninawasikiliza.
Akachukua simu ya mama anapekuwa,
mama: acha basi kupekuwa simu kwenye meseji.
Jamaa: naangalia meseji za mmeo anazokutumia........!
(wakawa wanapiga stori nyingine....)
Jamaa: fanya fasta basi tuna chelewa.....!
Sasa nikajiuliza huyu mke wa mtu toka arusha hadi moshi inamaana haridhiki na mme wake?
Je kweli ndo msemo demu wako wa zamani hata kama ameolewa una-access anytime!
This is not a story, nikweli kabisa kwa masikio,macho nimeshuudia.