MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #21
Mh......... kaazi kweli kweli kwa staili hii Fide tutakulia vyesa vyako hadi basi.Mi huwa nabembeleza kabla sijamega nikisha mega aaah ukakix tu....
Mh......... kaazi kweli kweli kwa staili hii Fide tutakulia vyesa vyako hadi basi.Mi huwa nabembeleza kabla sijamega nikisha mega aaah ukakix tu....
My bad ... hivi nimesema umeacha?jamani MJ1 acha kunionea....wapi niliposema kwamba nimeacha....
Mapenzi ya kisasa haya yaani nikiwa nazo huwa naogoshwa, nalishwa, navalishwa yaani full miraha
'mtoto wa kike' ndo unataka awe king'ang'anizi au? ......
chauro..... hahahah ndoto tena? kweli mapenzi hayatabiriki. Naombeni definition ya neno mapenzi .
My bad ... hivi nimesema umeacha?
hapana nilisoma vibaya kumbe uliambiwa u-DELETE ah
Ah Fidel unabembelezwa ukiwa na mshiko ina maana weye mwenzetu ukiwa na mshiko unafanya matangazo ka mabango ya mgombea uchaguzi eh?
haha eti full maraha wakati unajua wananyemelea wallet yako.
kwa hiyo siku ukiwa huna hela u r nobody kwao sio!
siku ukiwa huna hela hata ufiwe hawatakubembeleza lkn ukiwa nazo hata ukipiga chafya watu machozi yanawalengalenga.
Ewaa akae nayo mpaka atosheke. BTW umenionea Queenkami? Ukimwona mwambie anachonifanyia si kizuri eti!
ha!ha!ha! yan naskiaga walio ndoani wanabembelezwa KAKA aktaka MAMBO...au km amekukosea..yap anakubembeleza ..sasa iweje asikubembeleze? ahh hatari yan ata akina chacha mwta ,majura ,mafuru ,bwile wanabembeleza tena sana tu skuiz sasaiweje asikubembeleze?Sasa Rose ah
Ndio maana nasema nawaachia uwanja maana haya mapenzi siyaelewi kabisa maana yale yanayosifika kama visifa vya mapenzi hayafanyiki si bora wahenga wangeweka wazi tu tutegemee nini tukiingia mapenzini kuliko kutupamba kumbe urembo wa mlima kilimanjaro, juu ice nzuri wakati ndani udongo na miamba ya mawe!!
haha eti full maraha wakati unajua wananyemelea wallet yako.
kwa hiyo siku ukiwa huna hela u r nobody kwao sio!
siku ukiwa huna hela hata ufiwe hawatakubembeleza lkn ukiwa nazo hata ukipiga chafya watu machozi yanawalengalenga.
ha!ha!ha! yan naskiaga walio ndoani wanabembelezwa KAKA aktaka MAMBO...au km amekukosea..yap anakubembeleza ..sasa iweje asikubembeleze? ahh hatari yan ata akina chacha mwta ,majura ,mafuru ,bwile wanabembeleza tena sana tu skuiz sasaiweje asikubembeleze?
km mwapendana kubembelezana nakshi nakshi ..lazima bwna....sa utaish vp na mtu asokubembeleza? mwaishi km kuruta na afande?kinachomata kubembelezwa anachokifanya afta kumaliza kuimba iz anaza kesi....
!!!!!!
Ehe Hommie, amesemaje Queen?queen, braza ODM alikuwa anakutafuta:redfaces::redfaces::redfaces::embarrassed:
Hapana, 'mtoto wa kike' ajue kwamba kubembeleza mara moja haitoshi,,raha ya kubembelezwa ubembelezwe mara kadhaa, unajua kuna raha kusikia ile sauatiya kubembelezwa sas aukinibembeleza mara moja unakuwa umeniambia hujanibembeleza eeh...especially kwa 'mtoto' kama wewe dah...raha duniani
Nikitaka kuoga naogeshwaaaa ah
ha!ha!ha! yan naskiaga walio ndoani wanabembelezwa KAKA aktaka MAMBO...au km amekukosea..yap anakubembeleza ..sasa iweje asikubembeleze? ahh hatari yan ata akina chacha mwta ,majura ,mafuru ,bwile wanabembeleza tena sana tu skuiz sasaiweje asikubembeleze?
km mwapendana kubembelezana nakshi nakshi ..lazima bwna....sa utaish vp na mtu asokubembeleza? mwaishi km kuruta na afande?kinachomata kubembelezwa anachokifanya afta kumaliza kuimba iz anaza kesi....
!!!!!!
na wanaume huwa wana bembeleza au wabembelezwe wao tu?
Nikitaka kufa nauliwaaaaa:llama::llama: