Wadau wasalaam,ninaomba msaada tafadhali,popo wamevamia kwangu wananitesa sana,je dawa au mtego ni upi?msaada please.
Tumia dawa ya Rungu ila sina uhakika lakini.
Kama kuna umeme weka tube light yenye mwanga mkali, baada ya wiki njoo hapa lete mshindonyuma![/QUOTE]
Ni mrejesho bwana siyo hilo neno uliloandika.
Ni kweli Zanzibar Spices watu wa Pemba hula popo? Kwa sababu ya hatari ya Ebola ningeomba muache kula huyu mnyama angalau ndani ya miaka 6 ijayo.Hembu lete huku Kwetu,Pemba Popo Twalaa.
Mbona una dili kubwa la pesa halafu unataka kupoteza Fursa.
Hembu nipe Bei ya Jumla nihamie kwako,niweke mtego wa wavu.