FADHILIEJ
Senior Member
- Nov 5, 2010
- 132
- 18
Wadau ninashukuru kwa michango yenu yote.....,kila aliyechangia nimemuelewa,
Pili nasikitika sana sikuwa hewani kwa muda kutokana na masuala ya kikazi hivyo sijaweza kuwajibu kwa wakati walioniuliza maswali kadhaa ambayo ni ya msingi sana.
Mawazo na michango yote mliyonipatia ninaifanyia kazi.
Pili nasikitika sana sikuwa hewani kwa muda kutokana na masuala ya kikazi hivyo sijaweza kuwajibu kwa wakati walioniuliza maswali kadhaa ambayo ni ya msingi sana.
Mawazo na michango yote mliyonipatia ninaifanyia kazi.