Mkubwa unakiri huwezi mzaha kutokana na u'seriously ulionao sasa ya nini uvae mask ?
Stay with kind you are !
kupenda utani ni suala la personality au disposition ya mtu... unaweza kuforce ndiyo ukaharibu kabisa..
Na kweli yupo serious mana hajajibu chochote lol!
Na kweli yupo serious mana hajajibu chochote lol!
Utundu hausomewi, unakuja nachoro, bora abaki kama alivyo.