Hivi ni maneno gani aliyoyaongea ndugu tambwe hizza mpaka kusababisha watu wamzomee vile? Ningependa kuyajua maana niliona kwa kifupi sana kwenye habari ya TBC jana usiku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.