Emmado
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 209
- 215
Naombeni msaada wa kisheria kumchukua mtoto wangu toka kwa mama yake.
Kuna mwanamke nimezaa nae mtoto mmoja, nilikua nampa matumizi yote ya muhimu pamoja na hela ya kula na kuvaa mtoto na yeye. Sasa hivi karibuni tumeshindwana kwasababu ya mambo yake.. Mtoto alikua anasoma Internatinal school amemwachisha amempeleka shule ya msingi ya kawaida, nimejaribu kumwelekeza naona hanielewi. sasa naombeni mnisaidie.. Je kuna msaada wa kisheria wa kuweza kumchukua mwanangu nimrudishe shule nayotaka mimi? Mtoto ana miaka sita (6). mama anaemng'ang'ania hana kazi ila yupo kwa wazazi wake tu . Naombeni msaada wenu wana jamvi!
Natanguliza shukrani!
Kuna mwanamke nimezaa nae mtoto mmoja, nilikua nampa matumizi yote ya muhimu pamoja na hela ya kula na kuvaa mtoto na yeye. Sasa hivi karibuni tumeshindwana kwasababu ya mambo yake.. Mtoto alikua anasoma Internatinal school amemwachisha amempeleka shule ya msingi ya kawaida, nimejaribu kumwelekeza naona hanielewi. sasa naombeni mnisaidie.. Je kuna msaada wa kisheria wa kuweza kumchukua mwanangu nimrudishe shule nayotaka mimi? Mtoto ana miaka sita (6). mama anaemng'ang'ania hana kazi ila yupo kwa wazazi wake tu . Naombeni msaada wenu wana jamvi!
Natanguliza shukrani!