Mahmoud Qaasim
JF-Expert Member
- Nov 3, 2007
- 923
- 264
sijaelewa hapa, kafukuzwa kwenye eneo alilopewa kwa matumizi ya kimaombi, sasa iweje asijiombee kurudishiwa eneo, awaombee wengine wafunguliwe.
Hii inanitatiza kidogo ama ndio kinyozi/mganga hajinyoi/hajigangi ?
Hii inanitatiza kidogo ama ndio kinyozi/mganga hajinyoi/hajigangi ?