MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,517
- 1,367
Mwanazuoni,
Think beyond the box tafadhali! Soma na maandiko mengine kwa undani..yaani vitabu vya Burdha, Shintoism, Kuraani, Kitabu cha Wahindi, n.k
Ni ngumu sana kutetea kuwa imani yangu ndo nzuri na kunyooshea vidole wengine kwa misingi ya jinsi unavyoamini!
% kubwa ya Wachina hawaanimi Mungu ila utashangaa ndo wametujengea reli ya tazara, na uwanja wa mpira! Juzi tu walipata tetemeko ..hakuna Mtz hata mmoja aleyetoa mchango wa kibinadamu! sasa huu ni uppendo gani?
Upendo na imani ya kweli ni kusadiana, kuheshimiana na sii kuonyesha ni imani ipi bora?
Kila mtu akitumia kitabu chake cha maandiko na kuonyesha mistari kuwa ndo kweli..je tutafika?
Think beyond the box tafadhali! Soma na maandiko mengine kwa undani..yaani vitabu vya Burdha, Shintoism, Kuraani, Kitabu cha Wahindi, n.k
Ni ngumu sana kutetea kuwa imani yangu ndo nzuri na kunyooshea vidole wengine kwa misingi ya jinsi unavyoamini!
% kubwa ya Wachina hawaanimi Mungu ila utashangaa ndo wametujengea reli ya tazara, na uwanja wa mpira! Juzi tu walipata tetemeko ..hakuna Mtz hata mmoja aleyetoa mchango wa kibinadamu! sasa huu ni uppendo gani?
Upendo na imani ya kweli ni kusadiana, kuheshimiana na sii kuonyesha ni imani ipi bora?
Kila mtu akitumia kitabu chake cha maandiko na kuonyesha mistari kuwa ndo kweli..je tutafika?