cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
hivi kuna wapenzi hapa duniani ambao wanatumia condom...kila siku nasikia watu wanapigana kavu kavu dah!! tutakufa wengi aisee...
wamepata habari za hiyo tiba ya mwanza ya herbal works, dawa inaitwa TANVIR CEX-R. Ndio maana wanaenda peku tu! LORD HAVE MERCY!