jamani msaidieni happy

umeona kitu hicho dada ... Dunia hii? ...loh
smile nimeipenda stail ya avator yako........ulianza kwa kuweka sura ikalipa kweli for smtms kisha ukaleta sehem ya kifua tukaona kabisa ulivyojaliwa........ sasa umetuletea maeneo nyeti hips kisha baada ya muda malizia miguu................ baada ya hapo sidhan kama kuna mkaka wahumu jamvini ambaye hata kupm. manake ukiunganisha naweza kukupata kabisa............ duh sijui na mm nimsaidie baba g kukupm????????? uko very creative kwenye biashara.
 
smile nimeipenda stail ya avator yako........ulianza kwa kuweka sura ikalipa kweli for smtms kisha ukaleta sehem ya kifua tukaona kabisa ulivyojaliwa........ sasa umetuletea maeneo nyeti hips kisha baada ya muda malizia miguu................ baada ya hapo sidhan kama kuna mkaka wahumu jamvini ambaye hata kupm. manake ukiunganisha naweza kukupata kabisa............ duh sijui na mm nimsaidie baba g kukupm????????? uko very creative kwenye biashara.
AHAHAA my dear sister g so wataka kusema nipo kibiashara humu?....... ahahaaa sawa bana..
kiukweli mimi sipo kibiashara nipo huku jf cause ndo sehemu napata watu wanaonifanya nismile ...nawapenda sana
pia mimi ni mkweli kwa nini nijifiche?
 
NAITWA happy nipo ktk wakati mgumu sana.yote niliyoyafanya leo najutia.wakati nipo secondari.nilikuwa ktk mahusiano na mkaka mmoja kwa jina Alex,kiukweli tulipenda sana ila Alex alikuwa for5 mm for6,kpnd chote icho Alex alikuwa msaada mkubwa kwangu kipesa,kimasomo,hata maradhi,ila mimi baada ya kumaliza for6 majibu yalitoka vizuri baada ya hap...o nikaingia chuo MLIMANI.Nilisoma kwa juhudi zote ila baada ya mwaka mmoja pale chuo nilitokea kumpenda kaka mmoja kwa jina Victa.na mpaka muda huu nipo ktk mahusiano nae.

wiki iliyopita nimeenda kwakina Alex nimemwambia mm na yeye basi Alex amelia sana,ila leo hasubui kanitumia msg.kaniambia sawa happy nimekuelewa kila la kheri.nikamjibu sawa nawe pia.kwa kweli mapenz ya victa yalikuwa matamu sana Juz nilienda mlimani city na victa ila gafla nikakutana na Alex,wala sikuogopa nikamsalimia Alex mambo?then nikamtambulisha kwa victa,alex huyu mpenz wangu anaitwa Victa.alex akanijibu ok poa.baada ya hapo tukaondoka ila kwa sasa kuna tatizo kati yangu na Victa.Victa anapenda sex ya bila kutumia condom,nimemshauri tukapime kwanza jana tumeenda kupima.ila majibu sio mazuri kwan Victa ni mwathirika wa ukimwi.ila mimi niko safi.JAMAN Nataka kurud kwa Alex kwan siwez kuishi na Victa.JE MNADHAN ALEX atakubali kuwa na mimi tena????

Achana na Alex kabisa tena usije ukamwambukiza tamaa yako ndio iliyokuponza, unasema alikusaidia kimasomo, kipesa alafu ukamtosa ukamuona hafai ukakimbilia kwa victa sasa Victa kaathirika naye unamuona hafai kwa kweli vijana wasiku hizi hamjatulia kabisa wengi wao hasa wasichana tamaa ni nyingi mno, siku hizi mtu hapendwi pasipo pesa na vito vya thamani. Usimwache Victa mpe moyo kwakuwa anaweza kuishi kwa matumaini kwani ameshajua afya yake na pia haepuke ngono nawe rudi ukapime mpaka maratatu ili ujiridhishe mara moja tu haifai. Alex usimguse kabisa mwache labda naye hukute alishapata mahusiano mengine naye unataka amwache huyo aliyekuwa nae amuumize kama ulivyomuumiza? Mwache aendelee na life yake nawe usimnyanyapae huyo Victa mpe moyo katika kipindi hiki kigumu kwake.
 
aya bwana sikuwezi kid wetu hajambo lakini? sijui kama ananyonyeshwa maana mama mwenyewe kila saa yupo jukwaa la wakubwa ...ahahaaa mzazi wewe?

hawajambo wote. haka kachanga ndio kanalala muda mwingi kiasi kwamba nakuwa sina cha kufanya. si unajua mambo ya maternity leave siend job hivyo nakosa company kabisa. yaani kama siyo jamvi sijui ningekuwaje......
 
NAITWA happy nipo ktk wakati mgumu sana.yote niliyoyafanya leo najutia.wakati nipo secondari.nilikuwa ktk mahusiano na mkaka mmoja kwa jina Alex,kiukweli tulipenda sana ila Alex alikuwa for5 mm for6,kpnd chote icho Alex alikuwa msaada mkubwa kwangu kipesa,kimasomo,hata maradhi,ila mimi baada ya kumaliza for6 majibu yalitoka vizuri baada ya hap...o nikaingia chuo MLIMANI.Nilisoma kwa juhudi zote ila baada ya mwaka mmoja pale chuo nilitokea kumpenda kaka mmoja kwa jina Victa.na mpaka muda huu nipo ktk mahusiano nae.

wiki iliyopita nimeenda kwakina Alex nimemwambia mm na yeye basi Alex amelia sana,ila leo hasubui kanitumia msg.kaniambia sawa happy nimekuelewa kila la kheri.nikamjibu sawa nawe pia.kwa kweli mapenz ya victa yalikuwa matamu sana Juz nilienda mlimani city na victa ila gafla nikakutana na Alex,wala sikuogopa nikamsalimia Alex mambo?then nikamtambulisha kwa victa,alex huyu mpenz wangu anaitwa Victa.alex akanijibu ok poa.baada ya hapo tukaondoka ila kwa sasa kuna tatizo kati yangu na Victa.Victa anapenda sex ya bila kutumia condom,nimemshauri tukapime kwanza jana tumeenda kupima.ila majibu sio mazuri kwan Victa ni mwathirika wa ukimwi.ila mimi niko safi.JAMAN Nataka kurud kwa Alex kwan siwez kuishi na Victa.JE MNADHAN ALEX atakubali kuwa na mimi tena????

1.Utakuwa na ukimwi kama unabisha baada ya miez3 kapime!
2.ww hujui nn maana ya kupenda Alex ukumpenda sema ulipenda mkwanja wake!
3.Usiende kwa alex 2lia na victa huyo ndie wakowakufanae!
4.ww pia nim2 wakupenda sex bila condom kama ungekuwa unajali usingekubali!
5.alex ushamuumiza kipesa,kimapenz na kubwa zaidi ushamdharau kumpatambulisha victa kwake!
6.alex kama mwanaume yoyote awezi kukubali use***wako!
7.hata kama atakukubali hata kupenda kama mwanzo zaidi ya kukudharau na kukuona ****!
Naiwe fundisho kwa madem wengine kama ww!
 
Bora uachane na mapenzi kwa muda! You don't deserve Alex's love for sure! Ulimuumiza sana bila hatia sasa yamekushinda unataka kurudi kwake?no thank you!

Hana shukrani hata kidogo...........hivi unatukanaje mamba kabla hujavuka mto?????? Mwambie happy awache tamaa itamcost mbaya huko mblele ya safari.
 
NAITWA happy nipo ktk wakati mgumu sana.yote niliyoyafanya leo najutia.wakati nipo secondari.nilikuwa ktk mahusiano na mkaka mmoja kwa jina Alex,kiukweli tulipenda sana ila Alex alikuwa for5 mm for6,kpnd chote icho Alex alikuwa msaada mkubwa kwangu kipesa,kimasomo,hata maradhi,ila mimi baada ya kumaliza for6 majibu yalitoka vizuri baada ya hap...o nikaingia chuo MLIMANI.Nilisoma kwa juhudi zote ila baada ya mwaka mmoja pale chuo nilitokea kumpenda kaka mmoja kwa jina Victa.na mpaka muda huu nipo ktk mahusiano nae.

wiki iliyopita nimeenda kwakina Alex nimemwambia mm na yeye basi Alex amelia sana,ila leo hasubui kanitumia msg.kaniambia sawa happy nimekuelewa kila la kheri.nikamjibu sawa nawe pia.kwa kweli mapenz ya victa yalikuwa matamu sana Juz nilienda mlimani city na victa ila gafla nikakutana na Alex,wala sikuogopa nikamsalimia Alex mambo?then nikamtambulisha kwa victa,alex huyu mpenz wangu anaitwa Victa.alex akanijibu ok poa.baada ya hapo tukaondoka ila kwa sasa kuna tatizo kati yangu na Victa.Victa anapenda sex ya bila kutumia condom,nimemshauri tukapime kwanza jana tumeenda kupima.ila majibu sio mazuri kwan Victa ni mwathirika wa ukimwi.ila mimi niko safi.JAMAN Nataka kurud kwa Alex kwan siwez kuishi na Victa.JE MNADHAN ALEX atakubali kuwa na mimi tena????

pole sana ila kumbuka kitu kimoja kuwa mwanaume akishalia akanyamaza unaweza kumshawishi akuludie kama kuna siri ulikuwa unamhifadhia au labda ana roho nyepes otherwise thubutu!!!
Kwa upande mwingine hilo ni fundisho na kwa wengne kwel kabsa wanawake mkitoka level fulan kwenda nyingne huwa manajtapa sana na weng wenu ndo mnasaliti kbsaa! Tena mbaya zaid huwa mjishow au kuwaambia ma x kuwa nimepata mwingne mbwembwe nying hili nimejfunza kwa weng sio wewe !
Ila note kitu kimoja kuwa mahusiano yenu yalikuwa yanajulikana na ndg,jamaa na marafk sasa ulivyomuacha kama aliwaambia jua itakuwa shame on him akikuludia

kwahyo kama unania ya dhati JIPANGE
 
if this is true inatakiwa tuachana na kuwalaumu wote wawili. Kinachotakiwa ni namna ya kukata hii chain isiendelee haraka. Mfano hapy akirudi kwa alex hatuko sure kama yuko salama kwani kuna vile vifaa vya mtasiwa hivyo utaendelea kusambaa. Pia akimuaacha vikta kuna vitu vingi,anaweza kuuawa na victa na ye kujiua,vikta ataanza kusambaza kwa hasira,hana uhakika kama alex yuko salama. Kinachotakiwa ni wao kuendelea kupeana psychological support ili victor asipatwe na severe post traumatic stress disorder. Kwani kitendo cha kujua tu unao unapatwa na stress,ukiongeza na kuachwa sababu hiyo na ule wasiwasi wa leaking of information ikifuatiwa na unyanyapaa hali inakuwa ngumu zaidi. Take responsibility ya kumfanya jamaa azoee situation(ni ngumu lakini kuna vitu vitapungua) huku mkiendelea kujadili mustakabali wenu. Vile unavyofikiri ungejisikia wewe ingekupata hali hiyo hata mwenzio atakuwa hivyo. Kuwa mvumilivu,achana na tamaa kwa muda huu,muombe Mungu akupe nguvu.


utajuaje lbda Vcta aliikuwa anajijua
labda happy arudi na ajibu kuwa Victa alipokeaje majbu yake???
 
weeeee happy wewe, koma tena ukome kabisaaaaa utsithubutu kurudi kwa alex. maana hata hayo majibu unayodai uko sawa hayatoshi maana unatakiwa kurudi tena kupima baada ya miezi mitatu. usithubutu kurudi kumharibu alex muache aendelee na maisha yake kwa usalama wake kama kweli bado unampenda na kumthamini.
Unataka kurudi kwa Alex baada ya victa kuwa muathirika? Ingekuwa vyema kama ungerudi baada ya kuwa now umegenduwa unampenda alex, lakini kwa sababu ya victa muathirika,siyo sahihi kumbuka malipo ni hapa hapa duniani mimi naona muache alex aendelee na maisha yake maana unaonekana siyo muaminifu bali ni materials woman
 
Mungu wetu niwautaratibu sana na hubarikia wale wanaoteseka kama kweli uliamua kuachana na mpenzi wako aliyekuwa anakusaidia. Je, unamapenzi ya kweli hata kwa huyo? si ajabu wewe ndie uliyemletea hata huyo hapa unajibalangua tu,nilitamani upate hata na wewe ukimwi ili liwe fundisho kwa wajinga kama wewe. tamaa mbele mauti nyuma, majuto mjukuu, fikiria sana na samahani kwa niliyokuandikia haikuwa maana yangu
 
Dada yangu "MPENDAPENDA" unataka kulamba matapishi yako? Hebu mwache Alex wa watu apate nafasi ya kuwa/kupata aliyeumbwa kwa ajili yake. Hakika wewe hukuwa wake. Tena kaa mbali naye kabisa usije ukamwambukiza kijana wa watu asiye na hatia maana kama ndo mmepima jana tu, vyako vitakuwa bado ktk Window period! POLE!
 
Ukiangalia hii story imewaboa wachangiaji wengi sana hasa wanaume,mi nakushauri utulie kwanza utafakari kwa makini kabla ya kufanya papara ambazo zitakugharimu.It seems that you are a fast mover who wants to jump into every men that you think is good at the momemt,remember that high speed kills and soon you will die hard.
 
utajuaje lbda Vcta aliikuwa anajijua
labda happy arudi na ajibu kuwa Victa alipokeaje majbu yake???

angekuwa anajua angeshampitia siku nyingi bila condom. Kwan kuna shida? Ni makahaba tu wanaoweza kuzuia wasitiwe bila condom,hawa wengine huwa hawajielewi. Pia asingekubali kwenda kupima ili na happy ajue. Hii kazi ya counselling ngumu sana hata jamii inashindwa kuwahandle waathirika. Ukisoma comments nyingi utagundua kwamba wengi wetu tumekuja juu badala ya kumshauri kirafiki. Yawezekana yeye ndo rxn yake kwa situation hiyo ila inatakiwa kuwaweka watu kama hawa kwenye mstari ili rxn yake isilete madhara zaidi. Hawa watu inabidi kwenda nao taratibu,na hili ni tatizo hata kwa ndugu ambao huwa tunakuwa wa kwanza kuwanyanyapaa.
 
Back
Top Bottom