smile nimeipenda stail ya avator yako........ulianza kwa kuweka sura ikalipa kweli for smtms kisha ukaleta sehem ya kifua tukaona kabisa ulivyojaliwa........ sasa umetuletea maeneo nyeti hips kisha baada ya muda malizia miguu................ baada ya hapo sidhan kama kuna mkaka wahumu jamvini ambaye hata kupm. manake ukiunganisha naweza kukupata kabisa............ duh sijui na mm nimsaidie baba g kukupm????????? uko very creative kwenye biashara.umeona kitu hicho dada ... Dunia hii? ...loh
AHAHAA my dear sister g so wataka kusema nipo kibiashara humu?....... ahahaaa sawa bana..smile nimeipenda stail ya avator yako........ulianza kwa kuweka sura ikalipa kweli for smtms kisha ukaleta sehem ya kifua tukaona kabisa ulivyojaliwa........ sasa umetuletea maeneo nyeti hips kisha baada ya muda malizia miguu................ baada ya hapo sidhan kama kuna mkaka wahumu jamvini ambaye hata kupm. manake ukiunganisha naweza kukupata kabisa............ duh sijui na mm nimsaidie baba g kukupm????????? uko very creative kwenye biashara.
AHAHAA my dear sister g
Ndio maana na mm nikakutania manake nilitaka utabasamu asubuhi hii, ila stai yako nimeipenda..........lol
aya bwana sikuwezi kid wetu hajambo lakini? sijui kama ananyonyeshwa maana mama mwenyewe kila saa yupo jukwaa la wakubwa ...ahahaaa mzazi wewe?AHAHAA my dear sister g
Ndio maana na mm nikakutania manake nilitaka utabasamu asubuhi hii, ila stai yako nimeipenda..........lol
NAITWA happy nipo ktk wakati mgumu sana.yote niliyoyafanya leo najutia.wakati nipo secondari.nilikuwa ktk mahusiano na mkaka mmoja kwa jina Alex,kiukweli tulipenda sana ila Alex alikuwa for5 mm for6,kpnd chote icho Alex alikuwa msaada mkubwa kwangu kipesa,kimasomo,hata maradhi,ila mimi baada ya kumaliza for6 majibu yalitoka vizuri baada ya hap...o nikaingia chuo MLIMANI.Nilisoma kwa juhudi zote ila baada ya mwaka mmoja pale chuo nilitokea kumpenda kaka mmoja kwa jina Victa.na mpaka muda huu nipo ktk mahusiano nae.
wiki iliyopita nimeenda kwakina Alex nimemwambia mm na yeye basi Alex amelia sana,ila leo hasubui kanitumia msg.kaniambia sawa happy nimekuelewa kila la kheri.nikamjibu sawa nawe pia.kwa kweli mapenz ya victa yalikuwa matamu sana Juz nilienda mlimani city na victa ila gafla nikakutana na Alex,wala sikuogopa nikamsalimia Alex mambo?then nikamtambulisha kwa victa,alex huyu mpenz wangu anaitwa Victa.alex akanijibu ok poa.baada ya hapo tukaondoka ila kwa sasa kuna tatizo kati yangu na Victa.Victa anapenda sex ya bila kutumia condom,nimemshauri tukapime kwanza jana tumeenda kupima.ila majibu sio mazuri kwan Victa ni mwathirika wa ukimwi.ila mimi niko safi.JAMAN Nataka kurud kwa Alex kwan siwez kuishi na Victa.JE MNADHAN ALEX atakubali kuwa na mimi tena????
aya bwana sikuwezi kid wetu hajambo lakini? sijui kama ananyonyeshwa maana mama mwenyewe kila saa yupo jukwaa la wakubwa ...ahahaaa mzazi wewe?
hawajambo wote. haka kachanga ndio kanalala muda mwingi kiasi kwamba nakuwa sina cha kufanya. si unajua mambo ya maternity leave siend job hivyo nakosa company kabisa. yaani kama siyo jamvi sijui ningekuwaje......
NICE UNAMTOA LINI NIJE KUSASAMBUA?hawajambo wote. haka kachanga ndio kanalala muda mwingi kiasi kwamba nakuwa sina cha kufanya. si unajua mambo ya maternity leave siend job hivyo nakosa company kabisa. yaani kama siyo jamvi sijui ningekuwaje......
NICE UNAMTOA LINI NIJE KUSASAMBUA?
next week,ila mimi ni mkristo so huwa sina mambo ya kusasambua but nampeleka church kwaajii ya kubarikiwa basi kisha namsubiri baba yake arudi aje abatizwe.
BEST WISHES NA KID WETU MY DEAR....next week,ila mimi ni mkristo so huwa sina mambo ya kusasambua but nampeleka church kwaajii ya kubarikiwa basi kisha namsubiri baba yake arudi aje abatizwe.
NAITWA happy nipo ktk wakati mgumu sana.yote niliyoyafanya leo najutia.wakati nipo secondari.nilikuwa ktk mahusiano na mkaka mmoja kwa jina Alex,kiukweli tulipenda sana ila Alex alikuwa for5 mm for6,kpnd chote icho Alex alikuwa msaada mkubwa kwangu kipesa,kimasomo,hata maradhi,ila mimi baada ya kumaliza for6 majibu yalitoka vizuri baada ya hap...o nikaingia chuo MLIMANI.Nilisoma kwa juhudi zote ila baada ya mwaka mmoja pale chuo nilitokea kumpenda kaka mmoja kwa jina Victa.na mpaka muda huu nipo ktk mahusiano nae.
wiki iliyopita nimeenda kwakina Alex nimemwambia mm na yeye basi Alex amelia sana,ila leo hasubui kanitumia msg.kaniambia sawa happy nimekuelewa kila la kheri.nikamjibu sawa nawe pia.kwa kweli mapenz ya victa yalikuwa matamu sana Juz nilienda mlimani city na victa ila gafla nikakutana na Alex,wala sikuogopa nikamsalimia Alex mambo?then nikamtambulisha kwa victa,alex huyu mpenz wangu anaitwa Victa.alex akanijibu ok poa.baada ya hapo tukaondoka ila kwa sasa kuna tatizo kati yangu na Victa.Victa anapenda sex ya bila kutumia condom,nimemshauri tukapime kwanza jana tumeenda kupima.ila majibu sio mazuri kwan Victa ni mwathirika wa ukimwi.ila mimi niko safi.JAMAN Nataka kurud kwa Alex kwan siwez kuishi na Victa.JE MNADHAN ALEX atakubali kuwa na mimi tena????
Bora uachane na mapenzi kwa muda! You don't deserve Alex's love for sure! Ulimuumiza sana bila hatia sasa yamekushinda unataka kurudi kwake?no thank you!
NAITWA happy nipo ktk wakati mgumu sana.yote niliyoyafanya leo najutia.wakati nipo secondari.nilikuwa ktk mahusiano na mkaka mmoja kwa jina Alex,kiukweli tulipenda sana ila Alex alikuwa for5 mm for6,kpnd chote icho Alex alikuwa msaada mkubwa kwangu kipesa,kimasomo,hata maradhi,ila mimi baada ya kumaliza for6 majibu yalitoka vizuri baada ya hap...o nikaingia chuo MLIMANI.Nilisoma kwa juhudi zote ila baada ya mwaka mmoja pale chuo nilitokea kumpenda kaka mmoja kwa jina Victa.na mpaka muda huu nipo ktk mahusiano nae.
wiki iliyopita nimeenda kwakina Alex nimemwambia mm na yeye basi Alex amelia sana,ila leo hasubui kanitumia msg.kaniambia sawa happy nimekuelewa kila la kheri.nikamjibu sawa nawe pia.kwa kweli mapenz ya victa yalikuwa matamu sana Juz nilienda mlimani city na victa ila gafla nikakutana na Alex,wala sikuogopa nikamsalimia Alex mambo?then nikamtambulisha kwa victa,alex huyu mpenz wangu anaitwa Victa.alex akanijibu ok poa.baada ya hapo tukaondoka ila kwa sasa kuna tatizo kati yangu na Victa.Victa anapenda sex ya bila kutumia condom,nimemshauri tukapime kwanza jana tumeenda kupima.ila majibu sio mazuri kwan Victa ni mwathirika wa ukimwi.ila mimi niko safi.JAMAN Nataka kurud kwa Alex kwan siwez kuishi na Victa.JE MNADHAN ALEX atakubali kuwa na mimi tena????
if this is true inatakiwa tuachana na kuwalaumu wote wawili. Kinachotakiwa ni namna ya kukata hii chain isiendelee haraka. Mfano hapy akirudi kwa alex hatuko sure kama yuko salama kwani kuna vile vifaa vya mtasiwa hivyo utaendelea kusambaa. Pia akimuaacha vikta kuna vitu vingi,anaweza kuuawa na victa na ye kujiua,vikta ataanza kusambaza kwa hasira,hana uhakika kama alex yuko salama. Kinachotakiwa ni wao kuendelea kupeana psychological support ili victor asipatwe na severe post traumatic stress disorder. Kwani kitendo cha kujua tu unao unapatwa na stress,ukiongeza na kuachwa sababu hiyo na ule wasiwasi wa leaking of information ikifuatiwa na unyanyapaa hali inakuwa ngumu zaidi. Take responsibility ya kumfanya jamaa azoee situation(ni ngumu lakini kuna vitu vitapungua) huku mkiendelea kujadili mustakabali wenu. Vile unavyofikiri ungejisikia wewe ingekupata hali hiyo hata mwenzio atakuwa hivyo. Kuwa mvumilivu,achana na tamaa kwa muda huu,muombe Mungu akupe nguvu.
Unataka kurudi kwa Alex baada ya victa kuwa muathirika? Ingekuwa vyema kama ungerudi baada ya kuwa now umegenduwa unampenda alex, lakini kwa sababu ya victa muathirika,siyo sahihi kumbuka malipo ni hapa hapa duniani mimi naona muache alex aendelee na maisha yake maana unaonekana siyo muaminifu bali ni materials womanweeeee happy wewe, koma tena ukome kabisaaaaa utsithubutu kurudi kwa alex. maana hata hayo majibu unayodai uko sawa hayatoshi maana unatakiwa kurudi tena kupima baada ya miezi mitatu. usithubutu kurudi kumharibu alex muache aendelee na maisha yake kwa usalama wake kama kweli bado unampenda na kumthamini.
utajuaje lbda Vcta aliikuwa anajijua
labda happy arudi na ajibu kuwa Victa alipokeaje majbu yake???