Karibu babu, usije kuwa kababu, jamvi lahitaji mikakati sio ukakasi, jamvi lahitaj mababu waje watoe sababu. Jamvi lahitaji michango sio mapambo.
Nimejiunga nami nyakanga wa jando babu kijana nimefurahi nami kuwepo kundini kwa wahenga wa jamii hii ni changa moto nipokeeni nami ni mmoja wa makungwi wazuri wa vijana wa kileo tuwaelimishe na tuwape misemo kama hii ''kama mvuvi vua usicheze na mashua''