wanapenda kuonesha urembo wao. Hata bibilia hawaitaki tena
hahahha. Hawapendi kuona ushungi, wanaumia sana
Ungekuwa hujaolewa mi ningefika bei uwe mke wangu wa tatu
unataka uwaone nato wakiua nadio ufurahi?
siganature haikuekeri?
kauli yako jf ina ushawishi, tofautkumbe ilikuwa technique tu ya kuondoa? Jf bana kwa vitimbi havishi
hahahha. Hawapendi kuona ushungi, wanaumia sana
padri anaoa? Si anaolewa tu
vipi ile kesi ya dk slaa na mchumba wa watu?
sio nato tu wanajua kutumia silaha, hata huko nigeria nako mambo sio shwari
nijuavyo padri haoi